Bado milango ni migumu kwa team zote mbili., vijana wamejitahidi kwa nafasi zao ila bado hatujafanikiwa kupata goli., team inacheza vizuri, acha tuone kipindi cha pili itakuwa vp.
Wala usiwe na shaka, ili uchukue Kombe ni lazima ukutane na mabingwa wenzio, so sie kwa kuwa tuna nia ya kuchukua kombe hatuhofii mpinzani tutakayepangwa nae.
Benzemaaaa..,
Hatimaye sasa., hili goli limetafutwa kwa muda mrefu sana,
Tulimiss zile through pass kama aliyopiga Camavinga., muda mrefu sana kiukweli.,