Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,706
- 6,373
Hivyo vitu vidogo havimpunguzii sifa ya kuwa mchezaji mzuri., bado ni kijana kuna vitu anajaribu kufanya, vinaweza kwenda Sawa ama akaharibu., ninaamini kama akipata msaada mzuri wa kisaikolojia atafikia kiwango chake cha msimu uliopita na hata kupita. Kwenye mpira kunahitajika uvumilivu wakati mwingine., na club inajua hilo haiwezi kufanya makosa kama kwa yaliyotokea kwa akina., Theo Hernandez., Odegaard nk., wale watu na professionals so ninajua wanayafanyia kazi mapungufu yake.Mchezaji mzuri sana? Alafu unasema vitu vidogo? vitu vidogo kwenye mipira 10 anaharibu 9 alafu unasema vitu vidogo?
Hivyo vitu vidogo havimpunguzii sifa ya kuwa mchezaji mzuri., bado ni kijana kuna vitu anajaribu kufanya, vinaweza kwenda Sawa ama akaharibu., ninaamini kama akipata msaada mzuri wa kisaikolojia atafikia kiwango chake cha msimu uliopita na hata kupita. Kwenye mpira kunahitajika uvumilivu wakati mwingine., na club inajua hilo haiwezi kufanya makosa kama kwa yaliyotokea kwa akina., Theo Hernandez., Odegaard nk., wale watu na professionals so ninajua wanayafanyia kazi mapungufu yake.
Watoto wa King Charles huwa hawaaminiki. Kuna yule kijana wa kijerumani wa kuitwa Jamal Musiala. Atakaeweza kumtoa pale Bayern, atakua amepata mchezaji kweli kweli.Jude Bellingham kwenye radar yetu. Huyo dogo anaweza kutufaa kuziba bengo la maestro Luca akiondoka
Bavarians kuachia mchezaji sio rahisi aseee ni kama yanga africaWatoto wa King Charles huwa hawaaminiki. Kuna yule kijana wa kijerumani wa kuitwa Jamal Musiala. Atakaeweza kumtoa pale Bayern, atakua amepata mchezaji kweli kweli.
Na huyu jamaa anaesema Vini jr ni mchezaji wa hovyo, anatakiwa aache kumlinganisha na akina Messi na Ronaldo. Aangalie current transfer market, kuna wachezaji wawili wanaojua kumzidi Vini jr? I doubt!
Siku hizi vipaji ni vya kutafuta kwa tochi. Kwa level yake, Vini ni world class. Just below Pedri and Gavi!
Jude Bellingham kwenye radar yetu. Huyo dogo anaweza kutufaa kuziba bengo la maestro Luca akiondoka
#VamooosRealHeko madridistas
Leo tuko uwanjani na majogoo ya england pale. Nategemea utakua mchezo mzuri. Nacho fahamu mimi leo tunavuka hatua inayofata.
Kikubwa kuheshimu mpinzani tucheze naye kwa nidhamu tuu. Kupoteza tunaweza kupoteza ila haiondoi nafasi yetu robo fainali