Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Iyo ngekewa mbona nyie hamuipati
 

Yaani zinaform nzuri alaf zimetoka mapema ndio nn sasa
 
Thomas Tuchel tumuwahi mapema aseee ancelot anaweza timukia Brazil mwisho wa msimu.
Sie tuna options za kutosha., hatuna hata haja ya kukimbizana kutafuta kocha., kwanza ninadhani Ancelotti akitoka ataingia Raúl., ama atarudi Zidane ama Potechino., pia tuna Xabi Alonso anafanya ya vizur sana HUKO Bundesliga
 
Nyie hata Europa tu imewashinda., Sasa sijui tuwasaidie vp ndugu yangu.
 
Laliga inazidi kutukimbia kwenda kusikojulikana. Tukomae na copa de rey ambacho ndio next mechi yetu iyo na Barcelona.

Bila hivyo tutaishia hizi kombe tulizochukuq tuu msimu huu
Labda yatokee maajabu., ila kuwatoa jamaa pale juu ni zaidi ya mtihani.,
 
Sie tuna options za kutosha., hatuna hata haja ya kukimbizana kutafuta kocha., kwanza ninadhani Ancelotti akitoka ataingia Raúl., ama atarudi Zidane ama Potechino., pia tuna Xabi Alonso anafanya ya vizur sana HUKO Bundesliga
Naomba tusifanye majaribio wa Hawa vijana tuliowalea na kuwakuza akina Raul na xabi. Labda uniambie zizou kidogo ntakuelewa. Tomas Tuchel au klopp ni Watu sahihi kwetu
 
Naomba tusifanye majaribio wa Hawa vijana tuliowalea na kuwakuza akina Raul na xabi. Labda uniambie zizou kidogo ntakuelewa. Tomas Tuchel au klopp ni Watu sahihi kwetu
Tusifanye nao majaribio kivipi Mkuu., mbona hao akina Klopp walitokea huko huko., Zidane alikuwa msaidizi wa Ancelotti baadae akaenda team B., then tukampandisha, Raul anafanya vizur tu kwasasa na RM Castilla, Alonso alikuwa Real Sociedad B, na kwasasa yupo Bayer Leverkusen, so hawa tukiwaamini wanaweza kufikia hizo level za akina Klopp baadae.
 

Wamrudishe tu zidane yuko vizuri sana
 
Yaani zinaform nzuri alaf zimetoka mapema ndio nn sasa
Tukiamua kubishana ili kusogeza muda, tutabishana mtani. Ila tukiongelea facts, kwa sasa Arsenal na Manchester United ni team bora kwa uingereza kuliko Liverpool na Chelsea!
 
Fifa best imetolewa jana. Goal keeper aliyepo fifa best XI site aliechukua tuzo. Nadhani walikuwa wanaangalia performance ya mwezi December mwaka jana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…