Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,706
- 6,370
Jana sikuweza kujua roles ya Tchouaméni na Kroos uwanjani ilikuwa ni zipi., yaani walikuwa muda mwingi wanacheza upande mmoja, Modrić na mwenzie Valverde haki kadhalika, kwa jinsi team ilivyokuwa inacheza utadhani hawajahi kucheza pamoja., kuna makosa Ancelotti aliyaona ninadhani atayafanyia kazi kwenye game zinazofuata.
Kwenye Kombe la Mfalme tunakutana nao tena., 🤣🤣🤣Ndyo naamka sshv baada ya kipigo cha jana kutoka kwa manyambizi
Ile break ya worldcup imetugharimuHii game tulikosa ubunifu kati kati,
Jana sikuweza kujua roles ya Tchouaméni na Kroos uwanjani ilikuwa ni zipi., yaani walikuwa muda mwingi wanacheza upande mmoja, Modrić na mwenzie Valverde haki kadhalika, kwa jinsi team ilivyokuwa inacheza utadhani hawajahi kucheza pamoja., kuna makosa Ancelotti aliyaona ninadhani atayafanyia kazi kwenye game zinazofuata.
Hilo lilitegemewa tokea awali, na hata Ancelotti aliwahi kusema kuwa itatuletea shida, ila aliahidi kutumia wachezaji watakaobaki, ila cha kushangaza aliamua kuwatumia Modrić na Tchouaméni, wakati ana Camavinga na Rodrygo ambao ni more fresher kuliko hao,Ile break ya worldcup imetugharimu
Valencia wanalinda vizur., ila na sisi tunashindwa kutengeneza mashambulizi mazuri dhidi yao.,Hii game ngumu
Wadau gemu imeonyeshwa na dstv?Valencia wanalinda vizur., ila na sisi tunashindwa kutengeneza mashambulizi mazuri dhidi yao.,
Tumepata nafasi dakika za mwisho sema Vinicius akazingua..
Valencia ilikuaSikutazama game ila naamini tulicheza vibaya. Hatuwezi struggle na sevilla kwa kweli
Ilikuwa Valencia Mkuu, tunakuwa na shida sana tunapocheza na team inayolinda na kukaa na mpira., tuna shida ya ubunifu tunapokuwa eneo la adui., game kama za jana na Valencia, Villarreal na aina ya team hizi ili tuwapige vizuri tunahitaji kiungo wa aina ya Ozil, James ama Ordegaard, yaani anakuwa na kazi moja tu ya kuset mipango pale mbele., Sasa kwa style tunayocheza inakuwa ngumu kwasababu tunamtegemea jamaa waache nafasi kwenye wings ili tuweze kupitia huko, kitu ambacho hakitokei.,Sikutazama game ila naamini tulicheza vibaya. Hatuwezi struggle na sevilla kwa kweli
Asanten madrid,, hamna bayaIlikuwa Valencia Mkuu, tunakuwa na shida sana tunapocheza na team inayolinda na kukaa na mpira., tuna shida ya ubunifu tunapokuwa eneo la adui., game kama za jana na Valencia, Villarreal na aina ya team hizi ili tuwapige vizuri tunahitaji kiungo wa aina ya Ozil, James ama Ordegaard, yaani anakuwa na kazi moja tu ya kuset mipango pale mbele., Sasa kwa style tunayocheza inakuwa ngumu kwasababu tunamtegemea jamaa waache nafasi kwenye wings ili tuweze kupitia huko, kitu ambacho hakitokei.,
Ancelotti ninadhani atalifanyia kazi hili suala.