Kwa timu iliyocheza namna tunavyojiamini aisee ni fahari sana. Ila ukweli ule utatu modric, kross, casemiro ni Dhahabu tuliyopewa kutupa furaha madrid.
Mpira kwao ni rahisi unatamani siku zote wacheze. Msimu uanze tufurahie wote kuiona madrid ikicheza mpira kila weekend’s