Team imeendelea kuimarika, ninadhani game inayofuata dhidi ya Juventus itakuwa nzuri zaidi,
Tchouaméni ninaona Leo uoga umemtoka, labda kucheza viungo Wanne leo itakuwa imemsaidia kwasababu akipanda Camavinga alikuwa anashuka..
Leo tulikuwa na ingizo jipya kutoka Castilla, beki wa kulia anaitwa Vinicius Tobias, tunatarajia kuwa yeye ndio atakuwa mrithi wa Carvajal huko mbeleni, ni game yake ya kwanza, bahati mbaya amesingiziwa penalty, sidhani kama hilo litamshusha morale yake ya kucheza,. Ninatumaini atapewa nafasi tena kwenye game inayofuata.