HT: Hadi sasa tumecheza hovyo,kwa sababu tumeingia na kiburi cha goli 2 mbele,hatujapiga shoti lililolenga goli hata moja,counter attack hatupigi tumepooza sana..kama tulisobadilika kipindi cha pili tutapigwa mbili hapa na habari iwe imeisha hapa..huyu Nacho mzee wakukaba kwa macho bila kumuwekea backup plan ataendelea kutuchomesha.