Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hello Madridistas., Habarini za jioni.,
Ni usiku mwingine tena wa kuwaangalia vijana wetu wakicheza dhidi ya Real Mallorca, baada ya lile shangwe la Jumatano Leo tunakipiga kwenye Ligi, na kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi ratiba ya leo imedondokea Jumatatu., sio shida sana, suala la msingi ni kupata point tatu muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…