Kwenye game ya leo nitafurahi kuona battle ya Vinicius na Dani Alves, ninataka kuona Wabrazil hawa ni nani atamkalisha mwezie,
Ninakumbuka wakati Alves anacheza Sevilla, tulicheza nao, kwenye huo upande wake akakumbana na Mbrazil mwenzie Robinho ilikuwa ni battle ya aina yake, muda wote huo upande haukutulia hata kama hawana mpira refa akatoa kadi ya njano kwa wote ila bado, mwisho wa siku Robinho alifunga goli la ushindi akavua jezi akapigwa kadi ya pili ya njano na umeme juu.,
Licha ya utofauti mkubwa wa umri, ninadhani na Leo tuta enjoy.,
#HalaMadrid