Watani, nimefurahi kuona mkipoteza leo.
Mmekua kama Irene Uwoya. Mnawagomea wakubwa wenzenu, ila madogo wanajipigia tu.
Anyway, kila nikimuangalia Eden Hazard, nakumbuka hasara tuliyokula kwa Coutinho. Watoto mafala sana hawa. Yule Mariano ni garasa, dump him.
Alafu hawa wazee wenu kwenye midfield umri unaanza kuwazidia. Anzeni mapema kutafuta mbadala.
Endeleeni kudondosha point asee, angalau tupunguze gepu!