Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kweli walipambana, si unaona mbeleko ya Refa haikuwasaidia Sevilla? Bado tuna game 3 so kula mtu ashinde mechi zake, matokeo ya mwisho ndio yatakayoamua.
Ukweli mchungu, ningependa mshinde laliga ila Barca wana advantage zaidi yenu na ATM
 
Sema hawakusikii wala kukuona
 
Zidane alifeli Sana aliporudi Tena kwenye hili timu.

Baada ya kubeba zile ndoo tatu mfululizo za UEFA basi Angelinda heshima yake tu.x

Sasa kajirudisha angalia aibu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…