Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Yaani ukishangaa ya Madrid unakutana utopolo original kutoka Catalonia. Nimepitia kwenye mitandao naona wanalialia tu eti Refs hakuwafanyia haki. Sijui lini wataacha kulia
 
Yaani ukishangaa ya Madrid unakutana utopolo original kutoka Catalonia. Nimepitia kwenye mitandao naona wanalialia tu eti Refs hakuwafanyia haki. Sijui lini wataacha kulia

Wale siku wakipigwa 5 bila ndio ntaamanika
 
Kama Vinicious jana kacheza ovyo tu..sijui kwanini hakumtoa
Hii mi naiona tofauti na wewe.. Dogo amekua msumbufu sana mechi za hivi karibuni, kwahiyo inawezekana jamaa walijiandaa kumdhibiti, hawakumpa space kabisa. Ila ikawa msaada kwa wengine kua free.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…