Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Emerson ana gundu (own goal plus red card) which created panic amongst them Betis resulting to a penalt goal a few minutes later just interpreting the occasion a real phenomenon
 
Vijana wamejitahidi sana, Real Sociedad sio timu ya kubeza mnafahamu hilo. Ila watoto hao hao ndiyo waliotupa vikombe vya ndani. Baada ya ku-excel kwenye UCL back to back miaka michache tu iliyopita tukiwa na huyu huyu Zizzou tusitegemee kurudi kwenye peak ndani ya muda mfupi tu kwa kuwategemea wachezaji wale wale tuliokuwa tukilalamika kwamba wameshachoka ukizingatia pia mabadiliko yaliyofanyika kikosini hata yeye ameliona hilo. Ni wakati wake sasa na yeye ajenge kikosi imara kitakachoirudisha Real Madrid kwenye hadhi yake iliyozoeleka kwa miaka mingi, ni swala la muda tu. Hata tungefanya usajili wa maana kiaje, getting back on our usual UCL peak cannot happen ovenight!
sawa ila ilitakiwa usajili wa mbappe au harry kane uwepo pale mbele..
 
Eden Hazard is out of Real Madrid squad due to a muscular injury in the right leg.


'After the tests carried out today for Eden Hazard by the Real Madrid Medical Services, he was diagnosed with a muscle injury in his right leg.'

'Hazard could be out for 3 to 4 weeks.
 
Eden Hazard is out of Real Madrid squad due to a muscular injury in the right leg.


'After the tests carried out today for Eden Hazard by the Real Madrid Medical Services, he was diagnosed with a muscle injury in his right leg.'

'Hazard could be out for 3 to 4 weeks.

Hiv huyu jamaa atakujaga kufanya ile kitu watu tunachotegemea kweli?
 
Eden Hazard is out of Real Madrid squad due to a muscular injury in the right leg.


'After the tests carried out today for Eden Hazard by the Real Madrid Medical Services, he was diagnosed with a muscle injury in his right leg.'

'Hazard could be out for 3 to 4 weeks.
What's inappropriate with this Hazard aisee, nimesikia tena he's also repotedly return overweight & totally out of shape!

>>Eden Hazard has been branded "A Joke" and accused of lacking commitment by the press in spain| Real Madrid Star slammed for turning career into a joke!

They added;
And the problem is not his ankle. It is because of his lack of commitment during the summer break period, after which he returned the same way he arrived last summer when he signed for what we believed to be the team of his "dreams" "Being a Madrid player is not a joke but Hazard's situation is becoming a big one."
 
Back
Top Bottom