Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
That boy Vinincius has to stop dancing and be mature, it has been 3 years and he's getting more awful than better.
Anamuiga kaka yake neymar badala ya kutupia kambani
That boy Vinincius has to stop dancing and be mature, it has been 3 years and he's getting more awful than better.
Umeongea kitu cha msingi sana.. Kuondoka kwa hawa wote imeniuma mno. sioni cha maana kwa hwa watoto waliopo kini vinicious JrTunacheza show game team imejaza watoto kama tupo kwenye mashindano ya vipaji Zizu ana zingua Bale, James, Regullion wameondoka hakuna replacement ya maana hatuwezi kwenda kushindana UCL na hawa watoto
Zidane ana u Arsner Wenger usha ona wapi team haisajiri misimu mitatu wanaondoka watu wa maana tuna replace watoto hata kama ni kujenga team huku kumezidiReal madrid haiezi rudi kwenye peek hadi zidane aondoke
Tunacheza show game team imejaza watoto kama tupo kwenye mashindano ya vipaji Zizu ana zingua Bale, James, Regullion wameondoka hakuna replacement ya maana hatuwezi kwenda kushindana UCL na hawa watoto
Umeongea kitu cha msingi sana.. Kuondoka kwa hawa wote imeniuma mno. sioni cha maana kwa hwa watoto waliopo kini vinicious Jr
Real madrid haiezi rudi kwenye peek hadi zidane aondoke
Vijana wamejitahidi sana, Real Sociedad sio timu ya kubeza mnafahamu hilo. Ila watoto hao hao ndiyo waliotupa vikombe vya ndani. Baada ya ku-excel kwenye UCL back to back miaka michache tu iliyopita tukiwa na huyu huyu Zizzou tusitegemee kurudi kwenye peak ndani ya muda mfupi tu kwa kuwategemea wachezaji wale wale tuliokuwa tukilalamika kwamba wameshachoka ukizingatia pia mabadiliko yaliyofanyika kikosini hata yeye ameliona hilo. Ni wakati wake sasa na yeye ajenge kikosi imara kitakachoirudisha Real Madrid kwenye hadhi yake iliyozoeleka kwa miaka mingi, ni swala la muda tu. Hata tungefanya usajili wa maana kiaje, getting back on our usual UCL peak cannot happen ovenight!Zidane ana u Arsner Wenger usha ona wapi team haisajiri misimu mitatu wanaondoka watu wa maana tuna replace watoto hata kama ni kujenga team huku kumezidi
Zizou bana naamini atahakikisha luka jovic anasepa pale naona hamkubali kabisaa
Huyo ni floppy aende tu hafai kuanza,hafai sub inshort tulipigwa hapoZizou bana naamini atahakikisha luka jovic anasepa pale naona hamkubali kabisaa