numbisaHazard can offer Real Madrid an another Ronaldo! I know that Hazard is different from Ronaldo but he can make Real Madrid drag on the top like Ronaldo did! Hazard can also offer a UCL trophy to Madrid! Hazard can also offer a Ballon d'or to himself!Hazard can offer Real Madrid the position on the top in La Liga! But Hazard, I heartily request you, please don't become second Bale! All the best Hazard for your future at Real Madrid!
Mabingwa wa klabu bingwa Ulaya msimu wa 2019/20View attachment 1121421
Shida hufuatilii mtiririko wa mjadala ulipoanza...... Mwenzio alianza kusema Madrid ni bora dunia nzima kisa ina UEFA mara 3 mfululizo hivyo hakuna timu inaweza.
Nikampa facts kwamba bayern na Ajax nazo ziliwahi 3 mfululizo so sio big deal kwa Madrid kufanya hivyo.... Hata sevilla ilibeba Europa mara 3 mfululizo ingawa hata top 3 haikuwahi gusa la liga
Hoja yangu ni kwamba knockout competition sio kipimo pekee cha kutambua timu gani bora ila mfumo wa ligi ndio unaweza.... Ssa huko spain timu yenu imeshindwa beba la liga ndio unasemaje ni timu bora???
Kuhusu psg na juve wao kma Madrid wametumia pesa nyingi kufika walipofika tofauti ni kuwa france na italy hakuna mpinzani wao kifedha kma ilivyo barca huko spain ndio maana madrid haifurukuti....... Otherwise Madrid is a shitty team so ia juve and PSG!!!
Timu bora ni kama Dortmund,Ajax,Spurs,Napoli,Atletico ambazo ni timu zina bajeti finyu lakini zinapunch above their weight kwa kuleta ushindani kwenye ligi zao kwa miaka mfululizo... Sio mnatumia matrillion then mnaishia kubahatisha kama Real alafu zijiite Team bora. Yaani mnashinda UEFA kwa penalty na extra time then mtu anasema timu bora. My foot.
Tena angalau Ronaldo alikua anawabeba sahivi kasepa ndio msahau La liga kwa miaka 10 ijayo mfululizo
Hoja mnashindwa kujibu mnabaki kuropoka tu...... Such fans sum up and reflect the kind of season your team had, simply shambolic!!Sore loser. Seems you are suffering from VDDHD
VERBAL DIORHEA DEHIDRATES HUMAN DIGNITY
First game of the Liga Endesa's final playoffs today vs Barcelona. Hasta el final.
Seems we might end up with the dabbing merchant from Man United. Not a fan of his antics at all, but I trust my boys to straighten him up if the move do actually happen.
Atakubali kukaa benchi, asituletee mambo ya untouchable
Real Madrid 1, Barcelona 0. 2 for the title. Vamos!