Namuhi
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,068
- 1,103
Isco haflop kiasi kikubwa ila inahitaji kumpa hamasa tu na kocha apunguze negative zake kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Perez kalewa mafanikio ya timu kwa miaka 5 ya karibuni lakini alipaswa kuwanunua wachezaji waliokomaa wawili kuongeza nguvu. Nahisi hata board members wa timu wameshusha shinikizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa biashara ya wachezaji ngumu sana na mzee ujanja unaisha.
Perez hajaishiwa ujanja ila kabadilisha strategy tu
Unafahamu kuna project kubwa ya kuuboresha uwanja wa bernabue?
Atletico alikuwa na injuries nyingi na penalty ya nje ya Box ndio iliharibu mechi otherwise hakuna faida kumfunga atletico alafu unafungwa na girona.Na muwe mnakuja pia tunapomgonga mtu 3-1 kama atletico na 27 tarajieni kilio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daima mnatafuta visingizio kibao kama penalty kairudie ile yenu ya last match kama si refa mlidroo na nesi wenu aliyekosa ya pili. Kwenye last el classico tuliwadhibiti vilivyo na vijana wetu walikosa umakini mngekula zaidi ya tatu. Narudia tupo bora zaidi yenu kufungwa ni sehemu ya mchezo.Atletico alikuwa na injuries nyingi na penalty ya nje ya Box ndio iliharibu mechi otherwise hakuna faida kumfunga atletico alafu unafungwa na girona.
Atletico is now back on top of you!!.... Na barca akikufunga ndio atletico humpati tena let alone barca ambaye kimahesabu ndio ashakua bingwa.
Madrid ilikua Ronaldo toka ameondoka hivo vitoto vinaruka ruka tu.... Subiri mkikutana na Barca mtapigwa 5 zingine ndio utaelewa nachosema.
Nyie ndo vimeo tu.Achana na madrid, njoo kwa king Messi utoe stress babaa
Hichi kisingizio kila mtu anakitoa.
Kama ni hivyo wangemute hizi tetesi za kubembeleza hazard au neymar hadi uwanja ukamilike
Tetesi daima zipo tu kwa namna yoyote. Kikubwa kocha aamue kuhitaji yeyote atakuja hakuna asiyependa pesa na high profileHichi kisingizio kila mtu anakitoa.
Kama ni hivyo wangemute hizi tetesi za kubembeleza hazard au neymar hadi uwanja ukamilike
Tetesi daima zipo tu kwa namna yoyote. Kikubwa kocha aamue kuhitaji yeyote atakuja hakuna asiyependa pesa na high profile
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani amute?
Management ya Madrid imemuongelea Hazard au Neymar???? Au ni vyombo ya habari ndio vinaongea?