Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #41,201
Second yellow for Ramos. Red card. Bad turns to worse for Real Madrid.





Najisikia fahari Sana Madrid inapogongewa kwenye kitanda chake mwenyewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Team imerejea hari yake ya kawaida kushinda ilikuwa upepo tu, hii ndio Madrid ya sasa, huruma kweli kweli
Na muwe mnakuja pia tunapomgonga mtu 3-1 kama atletico na 27 tarajieni kilio.Zama za Madrid ndo zipo ukingoni hata ajax wanakuja kumfungashia virago hapo hapo kitandani kwake
Hii ndoto tu ukiamka utajionea uhalisia.Zama za Madrid ndo zipo ukingoni hata ajax wanakuja kumfungashia virago hapo hapo kitandani kwake
Waza hivo hivo na timu iko imara na ucl no.4 ipo njiani.Team imerejea hari yake ya kawaida kushinda ilikuwa upepo tu, hii ndio Madrid ya sasa, huruma kweli kweli
Neymar mzuri lakini naona tunae Vinicious ambaye anaendana kiuchezaji . Hapa nilitamani tumpate mtu goal score ambaye yupo fire hiki kipindi.Real inamlenga mshambuliaji wa PSG na Brazil mwenye umri wa miaka 27 Neymar mwisho wa msimu huu hatua ambayo huenda ikaharibu mipangilio ya uhamisho wa mshambuliaji nyota wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard.(Sunday Times - subscription required)
Neymar mzuri lakini naona tunae Vinicious ambaye anaendana kiuchezaji . Hapa nilitamani tumpate mtu goal score ambaye yupo fire hiki kipindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kwa Vinicious ila sioni Hazard kama ataleta tija kubwa pale ilitakiwa kum-adjust kiasi tu Isco anaweza kuwa kama Hazard kama nipo sahihi.Mbappe maji marefu kwa sasa,hazard bora kuliko neymar. Vinicious apate mbadala ili yasije tokea ya utawala wa CR7,wengi walikua wanamlaumu CR7 kuitawala madrid wakati mfumo ndio uliompa chance hio.
Mbappe ananunulika isitoshe anaviashiria vyote vya kuipenda Madrid na pesa itarudi haraka sana akija.Mbappe maji marefu kwa sasa,hazard bora kuliko neymar. Vinicious apate mbadala ili yasije tokea ya utawala wa CR7,wengi walikua wanamlaumu CR7 kuitawala madrid wakati mfumo ndio uliompa chance hio.
Mbappe angekua ananunulika angeshakuja zamani,Perez wa sasa sio yule wa enzi zile,Sawa kwa Vinicious ila sioni Hazard kama ataleta tija kubwa pale ilitakiwa kum-adjust kiasi tu Isco anaweza kuwa kama Hazard kama nipo sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbappe ananunulika isitoshe anaviashiria vyote vya kuipenda Madrid na pesa itarudi haraka sana akija.
Sent using Jamii Forums mobile app
Perez kalewa mafanikio ya timu kwa miaka 5 ya karibuni lakini alipaswa kuwanunua wachezaji waliokomaa wawili kuongeza nguvu. Nahisi hata board members wa timu wameshusha shinikizo.Isco tena!!huyu jamaa alitakiwa aweke bidii kwenye mazoezi badala yake akaweka bidii kwenye mipasho.kaisha mapema hadi huruma hope atarudi kwenye form yake.
Mbappe angekua ananunulika angeshakuja zamani,Perez wa sasa sio yule wa enzi zile,
Sio kila anaeipenda madrid anaweza angukia hapo,cheki neymar kuipenda kote madrid bado ngumu kutua santiago