Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
- Thread starter
- #40,781
Kwahiyo huyo bwana mdogo Vinicius ameshajihakikishia namba hapo Madrid..!?🔥 🔥 🔥
Brahim Diaz kakimbia bench la Man City,sasa hivi anapasha benchi la Madrid...REAL MADRID BENCH:
• Luca Zidane
• Raphael Varane
• Toni Kroos
• Marcos Llorente
• Brahim Diaz
• Isco
• Sergio Reguilon
Kwahiyo huyo bwana mdogo Vinicius ameshajihakikishia namba hapo Madrid..!?
Huyo mtoto mdogo ataweza kuwafikisha popote kweli..?
Kambebe umrudisheBrahim Diaz kakimbia bench la Man City,sasa hivi anapasha benchi la Madrid...
Mechi kama hizi alikua anaanza pale Man City,lakini sasa hivi anakalia tu ubao..!
Inaonekana Madrid umeiangalia jana au unafatilia tu mitandaoni kinachozungumzwa then unaleta comments huku. Huyo V. Junior mwenyewe alipelekwa hadi timu ya vijana kwajili ya kujenga confidence. Kuna tofauti kubwa sana kati ya Madrid na Man City, usilinganishe bahari na bwawa.Brahim Diaz kakimbia bench la Man City,sasa hivi anapasha benchi la Madrid...
Mechi kama hizi alikua anaanza pale Man City,lakini sasa hivi anakalia tu ubao..!
Nafikiri ubongo wako una shida kidogo..!Inaonekana Madrid umeiangalia jana au unafatilia tu mitandaoni kinachozungumzwa then unaleta comments huku. Huyo V. Junior mwenyewe alipelekwa hadi timu ya vijana kwajili ya kujenga confidence. Kuna tofauti kubwa sana kati ya Madrid na Man City, usilinganishe bahari na bwawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda ukifika atajiongeza mwenyewe...
Brahim Diaz kakimbia bench la Man City,sasa hivi anapasha benchi la Madrid...
Mechi kama hizi alikua anaanza pale Man City,lakini sasa hivi anakalia tu ubao..!
Kama hilo ndio hitaji lake,basi yuko sawa..!Win win situation, analipwa pesa kuiangalia Real Madrid inacheza
Yaah defensive line bado haijakataa good ..tusijiamishe sana tumerudi kwenye ubora team bado