Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread


Dah bora nikuache tu, hivi kama wahispania hawajui mpira wanaojua mpira ni nani Waengeraza au?
 

Watatizamia vilaza watakaongia kichwakichwa. Wakipata Premier League team wanaweza kujilipizia hasara zao.
 
Watatizamia vilaza watakaongia kichwakichwa. Wakipata Premier League team wanaweza kujilipizia hasara zao.

Kina Asensio na Bale wangekuwa form ya juu Real Madrid ingekuwa top four toka mwanzo wa ligi, sasa mechi zaidi ya kumi na mbili tangu ligi ianze Real Madrid ipo mtaa wa saba huko zinakuaga Club mbovu zinazosindikizaga ligi miaka yote kimsimamo huku Dembele na Coutinho wameibeba timu kuwa vizuri kwenye msimamo wa ligi
 

Dembele kambeba nani mkuu na hata namba ya uhakika hana? au humuoni anvosugua bench?
 
Dembele kambeba nani mkuu na hata namba ya uhakika hana? au humuoni anvosugua bench?

Dembele, Coutinho na Malcom woote wanafanyiwa rotation, Isipokuwa pale Nou Camp ambae hawatafanyiwa/hawafanyiwi rotation ni Messi, Suarez, Busquets, Pique, Jordi Alba na Umtiti
 
Basi watafanya vile utakavyo
Micheal Laudrup
Simone Inzaghi
Di francisco
Marcello Galardo

Hao ndio makocha wenye uwezo na ambao upatikanaji wao hautokua na shida yoyote. Wapo na wengine ila kiharaharaka ningumu kuwachomoa kirahisi kwenye timu zao.
 
Dembele, Coutinho na Malcom woote wanafanyiwa rotation, Isipokuwa pale Nou Camp ambae hawatafanyiwa/hawafanyiwi rotation ni Messi, Suarez, Busquets, Pique, Jordi Alba na Umtiti

Kila mwenye namba yake anajijua mkuu.
 
Real Madrid XI to face Roma:

Courtois, Carvajal, Ramos, Varane, Marcelo, Kroos, Modric, Llorente, Lucas Vasquez, Bale, Benzema.

#RealMadridvsRoma
 
REAL MADRID BENCH:

• Casilla
• Mariano
• Valverde
• Asensio
• Ceballos
• Vinicius Jr
• Javi Sanchez
 
Another game of GROUP G:

Full Time: CSKA Moscow 1-2 Viktoria Plzen.

Real Madrid are through to the Round of 16! Now, let’s get 1st place!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…