Nilijua haya yanakuja. Solari si kocha mzuri kabisa, na niliwashangaa Real kumpa mkataba mkubwa. Alau wangelimuacha amalize msimu. Timu inakua chini sana anashindwa kuchezea mpira kabisa.
Na pi bado nashindwa kufahama why Bal anaendelea kuwa anachezeshwa.