Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jamaa anaboa. Strikers wanakuwa very underpressure wanapigiwa kelele wafunge, Na kubwa timu zengine wanawaachia mastriker wapige penalty. Sasa yeye anawzabia tu kibabe.
Mkuu ninaelewa unachomaanisha lakini ujue kila team ina utamaduni na utaratibu wake, kwa mfano kwenye club yetu Ramos amekuwa wa pili kwenye upigaji wa penalty wakati bado Cristiano yupo, kwa sababu sasa huyu jamaa hayupo Ramos ndio mpigaji wa kwanza kwasasa, na list ipo na inajulikana, na hii utambue kwamba hapewi tu kwasababu ni mkongwe ama ni captain, laa hasha ni kwasababu ana uwezo wa kupiga pia, so kama wew ni Madridista sioni kinachokufanya usielewe utaratibu wetu nini!!
 
Mkuu ninaelewa unachomaanisha lakini ujue kila team ina utamaduni na utaratibu wake, kwa mfano kwenye club yetu Ramos amekuwa wa pili kwenye upigaji wa penalty wakati bado Cristiano yupo, kwa sababu sasa huyu jamaa hayupo Ramos ndio mpigaji wa kwanza kwasasa, na list ipo na inajulikana, na hii utambue kwamba hapewi tu kwasababu ni mkongwe ama ni captain, laa hasha ni kwasababu ana uwezo wa kupiga pia, so kama wew ni Madridista sioni kinachokufanya usielewe utaratibu wetu nini!!

Siamini kama anapewa, anang'ang'ania, Jamaa ana influence kubwa kwenye timu, Ndio mchezaji mkongwe na ni Captain. Hata Perez mwenyewe katikawatu anaowasikiliza nayeye yumo. Sasa anatumia advantage hiyo kung'angania utashi wake. Unahisi kabisa baadhi ya wachezaji wanakuwa hawana raha kabisa anapofukizia mpira.
Na ukizungumza uwezo Jorginho ni master kabisa kwenye upigaji Lakini hazard ndie anaepiga chelsea. Bonucci na Pijanic nao ni mamaster lakini Ronaldo na kabla yake alikua Dybala ndio wanaopiga. Jamaa ana matatizo yake binafsi tu, Anatafuta zile rekodi za konekanwa katika mabeki walio na magoli mengi sasa hilo ndilo lililomjaa kichwani mwake.
 
IT MIGHT BE AN OWN GOAL BUT IT ALL STARTED FROM IT. DEFLECTION AND IT GOES IN THE GOAL. UNBELIEVABLE STUFF

THANK YOU THANK YOU THANK YOU VINCIUS JR!!!!!!
Huyu Dogo atakuwa na impact kubwa sana huko mbeleni endapo ataendelea kupewa muda wa kucheza, ninachopenda kutoka kwa huyu kijana ni ile directness aliyonayo kwenye ku attack pia na confidence aliyonayo, ninashangaa ni kijana mdogo sana ila ana ujasiri kweli kweli na hicho kinamsaidia sana kupambana, Sitoshangaa kuona Dogo amempiga mtu bench kama akiendeleza hizi juhudi..
 
Siamini kama anapewa, anang'ang'ania, Jamaa ana influence kubwa kwenye timu, Ndio mchezaji mkongwe na ni Captain. Hata Perez mwenyewe katikawatu anaowasikiliza nayeye yumo. Sasa anatumia advantage hiyo kung'angania utashi wake. Unahisi kabisa baadhi ya wachezaji wanakuwa hawana raha kabisa anapofukizia mpira.
Na ukizungumza uwezo Jorginho ni master kabisa kwenye upigaji Lakini hazard ndie anaepiga chelsea. Bonucci na Pijanic nao ni mamaster lakini Ronaldo na kabla yake alikua Dybala ndio wanaopiga. Jamaa ana matatizo yake binafsi tu, Anatafuta zile rekodi za konekanwa katika mabeki walio na magoli mengi sasa hilo ndilo lililomjaa kichwani mwake.
Rejea nilichokueleza mwanzo kuhusu utamaduni na tararibu za club husika, hii suala la Ramos kuanza kupiga penalty halijaanza leo, ina maana kuanzia kipindi cha akina Ancelloti alikuwa anangángánia hapo hakuna ukweli, ni kwamba ana uwezo wa kupiga pia, kama huo uwezo anao ni vizuri akawa anapiga pia, Kumbuka mpaka kwenye team ya Taifa ya Spain anapiga yeye pia na sio ameanza juzi, hata bado Iniesta yupo, kwahiyo hii inatoka na kuaminiwa tu na Kocha wako, kumbuka wanafanya mazoezi ya vitu mbali mbali ndio maana unakuta pia tuna wachezaji wanaopiga free kick katika maeneo mbali mbali hii inatokana na uwezo mchezji husika anaouonyesha katika mazoezi..
 
Rejea nilichokueleza mwanzo kuhusu utamaduni na tararibu za club husika, hii suala la Ramos kuanza kupiga penalty halijaanza leo, ina maana kuanzia kipindi cha akina Ancelloti alikuwa anangángánia hapo hakuna ukweli, ni kwamba ana uwezo wa kupiga pia, kama huo uwezo anao ni vizuri akawa anapiga pia, Kumbuka mpaka kwenye team ya Taifa ya Spain anapiga yeye pia na sio ameanza juzi, hata bado Iniesta yupo, kwahiyo hii inatoka na kuaminiwa tu na Kocha wako, kumbuka wanafanya mazoezi ya vitu mbali mbali ndio maana unakuta pia tuna wachezaji wanaopiga free kick katika maeneo mbali mbali hii inatokana na uwezo mchezji husika anaouonyesha katika mazoezi..
Hatakuelewa
 
Rejea nilichokueleza mwanzo kuhusu utamaduni na tararibu za club husika, hii suala la Ramos kuanza kupiga penalty halijaanza leo, ina maana kuanzia kipindi cha akina Ancelloti alikuwa anangángánia hapo hakuna ukweli, ni kwamba ana uwezo wa kupiga pia, kama huo uwezo anao ni vizuri akawa anapiga pia, Kumbuka mpaka kwenye team ya Taifa ya Spain anapiga yeye pia na sio ameanza juzi, hata bado Iniesta yupo, kwahiyo hii inatoka na kuaminiwa tu na Kocha wako, kumbuka wanafanya mazoezi ya vitu mbali mbali ndio maana unakuta pia tuna wachezaji wanaopiga free kick katika maeneo mbali mbali hii inatokana na uwezo mchezji husika anaouonyesha katika mazoezi..
Una hangaika bure huyo jamaa ni kichwa tupu
 
German referee Deniz Aytekin will referee Viktoria Plzen vs. Real Madrid.


DrPbMFDVYAAIwSl.jpg
 
MARCA: Villarreal player Alfonso Pedraza is believed to be one of the left-backs on Real Madrid's radar.

With Marcelo now 30 years old, Los Blancos are looking to strengthen their depth at the left-back position, where they currently have 21-year-old Sergio Reguilon as the backup, while they also own the rights of Theo Hernandez, who is on loan at Real Sociedad.


DrPtlZhU8AAKtDs.jpg
 
MARCA: Galacticos that have gone from winning the Champions League to becoming coaches..

Zidane
Hierro
Solari
Karanka
Celades
Raul
Guti
Morientes
Munitis
Makelele
Salgado



DrMcGr1W4AEqc-s.jpg:large
 
MARCA: Real Madrid visit Viktoria Plzen this midweek and they'll do so without Jesus Vallejo, Mariano, Marcelo, Raphael Varane, and Dani Carvajal.
 
AS: Gareth Bale vs. Valladolid

71 Minutes
2 Scoring chances
0 Goals
14 times gave away possession


DrPzPDjV4AAnT_e.jpg
 
The Doosan Arena where Real Madrid will train tomorrow and face Viktoria Plzen on Wednesday. It has a capacity of just under 12,000

DrQJC-sUwAEqsNe.jpg
 
GREAT NEWS! Marcelo & Raphael Varane are back to training on the pitch!


DrPPw1rXQAA11dM.jpg



DrPPw1tXcAEmM5Q.jpg
 
MARCA|Despite the current "crisis" Real Madrid are commercially strong as ever.

The commercial area grew by 16% to 297m euros and the indications are that the income will grow to 305.24m euros this season. The sponsorship and licencing which are the main sources of income stand at 239.68m euros, an increase of 18.2%.


45379002_2260651723959575_8405801552949805056_n.jpg
 
David Beckham: "Real Madrid C.F. in a crisis?"

“I wouldn’t say it’s a crisis. When you’ve been so successful and you have a couple of games that you don’t play well, or a few games, people start talking about it. But they’ll be fine.”

“Real Madrid is going through a certain change. I think all big teams go through difficult times.”



45422966_2260568147301266_3142445180402008064_n.jpg

 
Training Session Real Madrid C.F.

The team were back in training as they began to prepare for the trip to FC Viktoria Plzeň which will take place this Wednesday at the Doosan Arena. Solari called up Castilla players Javi Sánchez, Manu Hernando, Dani Fernández, Dani Gómez, Zabarte, Augusto and Martín.



45400795_2260437743980973_7117865930327064576_n.jpg
 
Back
Top Bottom