Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Odriazola leo anaanza leo. Usajili wa Lopetegui ni tofauti na mategemeo ya watu, wengi waliamini Perez angevunja rekodi ya mamilioni kumbe alichofanya ni kutengeneza timu iliyo stable, mfano ni huu, Carvajal kaumia lakini no worries

Wish na vicious angepata walau dakika chache za mwisho tuone mwenendo wake ,maana kule castilla sio kipimo chake sahihi
 
Mashabiki wa siku hizi mmejaa mipasho aiseee so siku za nyuma hakukua na umoja kabisaaa?
Ila toka ligi inaanza mpka asaivi kuna mabadiliko makubwa sana kwenye kikosi timu inacheza kwa umoja tofauti sana na misimu ya nyuma..i hope leo tutatoka na ushindi mkubwa pale home
 
Real Madrid XI: Courtois, Odriozola, Varane, Ramos, Nacho, Casemiro, Ceballos, Modric, Isco, Asensio, Benzema

Subs: Keylor Navas; Marcelo, Llorente, Fede Valverde, Lucas Vázquez, Mariano, Bale
 
Real Madrid XI: Courtois, Odriozola, Varane, Ramos, Nacho, Casemiro, Ceballos, Modric, Isco, Asensio, Benzema

Subs: Keylor Navas; Marcelo, Llorente, Fede Valverde, Lucas Vázquez, Mariano, Bale
Navas mbona anawekwa bench?
 
42432210_1253550224797036_3466538310137020416_n.jpg
 
Congratulations to Real Madrid Basketball who just won the European Supercup after winning 80-73 against Baskonia HALA MADRID

DnuI_-PXgAAbaJY.jpg
 
HT:So far tumecheza vzr....japokuwa huu upande wa Nacho ndo naona pana udhaifu...akipanda anachelewa kurudi na ndio jamaa wanapitia sana....kule mbele bado hatujaweka mipango mizuri yakuliona lango...kiungo tumekishika vyema...nafikiri atoke Ceballos aingie balle...huyu Isco arudi kati...
 
HT:So far tumecheza vzr....japokuwa huu upande wa Nacho ndo naona pana udhaifu...akipanda anachelewa kurudi na ndio jamaa wanapitia sana....kule mbele bado hatujaweka mipango mizuri yakuliona lango...kiungo tumekishika vyema...nafikiri atoke Ceballos aingie balle...huyu Isco arudi kati...
Mkuu upo serious kweli unamtoa cabbelos aingie bale. Sub yako umefikiria mara mbili kweli
 
Asensio's goal was canceled initially but then VAR played its role.
1f525.png


42429453_2195796247111790_2289076964423630848_n.jpg
 
Back
Top Bottom