Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #38,421
Asensio Off and Ceballos On
Hii n kweli kabisa mpaka sasa real Madrid tumeshapata penati tstu hii ina maana kama Rinaldo angekuwepo zote angepiga yeye. Nimemuona Jana mechi dhidi ya parma anarukarika tu, kufunga wanafunga wengine.Katudharau hadi sasa anaonekana alikua anabebwa na Real na si yeye kuibeba real
Katudharau hadi sasa anaonekana alikua anabebwa na Real na si yeye kuibeba real


vichekessho vingine bhana , ngoja tusubiriRonaldo alikuwa na mchango mkubwa sana hapo madrid kuna muda timu kaivusha hatua za mtoano na kwenda kubeba ndooHii n kweli kabisa mpaka sasa real Madrid tumeshapata penati tstu hii ina maana kama Rinaldo angekuwepo zote angepiga yeye. Nimemuona Jana mechi dhidi ya parma anarukarika tu, kufunga wanafunga wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app