Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 3,112
- 4,334
Wewe dawa imekuingia sio bureHoja kwa hoja nyuma chujio....ana magoli mengi lakini mko nafasi ya tatu

Wewe dawa imekuingia sio bureHoja kwa hoja nyuma chujio....ana magoli mengi lakini mko nafasi ya tatu

Hamna uwiano wa nafasi mliopo na magoli yakeWewe dawa imekuingia sio bure![]()
![]()
![]()
![]()
Wakati Ronaldo ana goli 4 Messi 16 mlipiga kelele kila siku list ya top scorer mki highlight Jina la beast, mmeona mwanaume Feb inaanza goli 4 March inaisha kamba 22 " my skills, my commitment, my focus, my discipline " the only CR7 pigeni kelele tenaaaaaaHoja kwa hoja nyuma chujio....ana magoli mengi lakini mko nafasi ya tatu
Kwani wakati Messi anafunga alikua wapi?au alikua amelala?Wakati Ronaldo ana goli 4 Messi 16 mlipiga kelele kila siku list ya top scorer mki highlight Jina la beast, mmeona mwanaume Feb inaanza goli 4 March inaisha kamba 22 " my skills, my commitment, my focus, my discipline " the only CR7 pigeni kelele tenaaaaaa



Alipigwa ban 5 games Unajifanya ume sahahauKwani wakati Messi anafunga alikua wapi?au alikua amelala?
Kufunga mwanzo ,katikati au mwisho ni same thing
Kwahiyo Ronaldo unataka kuniambia alikua anaumia kwa sababu Messi alikua ame score goli nyingi
Tunaangalia significance ya goals Messi magoli yake mengi this season yamekua decisive thats my point fan
Wakati messi anafunga yy alikuwa amefungiwa mechi 5 kama cjakosea ila ukitaka significance ya magoli yake tafuta takwimu utaona halaf ndo urudi hapaKwani wakati Messi anafunga alikua wapi?au alikua amelala?
Kufunga mwanzo ,katikati au mwisho ni same thing
Kwahiyo Ronaldo unataka kuniambia alikua anaumia kwa sababu Messi alikua ame score goli nyingi
Tunaangalia significance ya goals Messi magoli yake mengi this season yamekua decisive thats my point fan
Wewe kweli ni Jaluo unaumwa maviWakati messi anafunga yy alikuwa amefungiwa mechi 5 kama cjakosea ila ukitaka significance ya magoli yake tafuta takwimu utaona halaf ndo urudi hapa
Sasa hii sijui tuite ni wivu, ama kujisahau, ama ndio mmekosa cha kuongea kwasasa!? Last season tulichukua La Liga, na Ronaldo hakuwa mfungaji bora., Vp aliyechukua kiatu na yeye kilimkumba nin!? mbona hakuchukua Kikombe while alikuwa mfungaji bora!?Ronaldo anaongoza kufunga useless goals kwenye laliga
Team yake iko nafasi ya tatu ila ana goli 22 (the guy is so selfish)
Hoja kwa hoja -significance ya magoli yake iko wapi?
nilitaka kumuuliza same question,Sasa hii sijui tuite ni wivu, ama kujisahau, ama ndio mmekosa cha kuongea kwasasa!? Last season tulichukua La Liga, na Ronaldo hakuwa mfungaji bora., Vp aliyechukua kiatu na yeye kilimkumba nin!? mbona hakuchukua Kikombe while alikuwa mfungaji bora!?
Kuwa nafasi ya tatu ndio significance yenyew, kwasababu kabla ya hapo tulikuwa nafasi ya 4, na sasa tupo ya tatu tena nyuma ya Atletico Madrid kwa point 4., kwahiyo kama team ilikuwa haifungi especially CR7 tungekuwa tunapigania nafasi ya Europa akina Villareal huko..,Hoja kwa hoja nyuma chujio....ana magoli mengi lakini mko nafasi ya tatu
Tunawajibu siku moja moja, sababu ukiacha ipite tu hiv hiv anaweza kujustify comment yake kuwa ni kweli.., asubiri tu ligi bado haijaisha, ataelewa hizi goli zina impact gani huko mbele..,nilitaka kumuuliza same question,
ila naona tu jamaa kaamua kuja kutafuta mtu wan kubishanana nae huku... mara nyingi huwa tuna wa ignore tu..
Sasa siginificance si ndio hiyo nafasi ya tatu? Au tuko relegation zone?Ronaldo anaongoza kufunga useless goals kwenye laliga
Team yake iko nafasi ya tatu ila ana goli 22 (the guy is so selfish)
Hoja kwa hoja -significance ya magoli yake iko wapi?
Mshambuliaji wa Ureno na Real Madrid Cristiano Ronaldo aliwahakikishia wenzake wa Real Madrid kwamba atashinda taji la mfungaji mwenye mabao mengi katika ligi ya La Liga licha ya Messi kuwa na mabao 11 zaidi ya yake. (Marca)
Barcelona, Paris St-Germain na Real Madrid zinataka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool Mohammed Salah , 25 kwa dau la uhamisho litakalovunja rekodi la £200m. Raia huyo wa Misri amefunga mabao 28 katika ligi ya Uingereza msimu huu. (Sun)







na
We numbisa kila Forum nakuona