Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

The finished Ronaldo
IMG_20180319_003843.jpg
 
Real Madrid wana magoli ya kufunga (73) merely sawa na Barcelona (74) wanaoongoza ligi na hii inaonyesha kuwa forward za hizi timu ni kama zimelingana kwa makali, lakini Real Madrid wamecocede magoli 33 sasa na Villarreal na Athletico Bilbao na hii inamaanisha kuwa Real Madrid wana ukuta mbovu kama wa hizo timu ambazo ziko namba 6 na nyingine 13 katika msimamo wa ligi
 
Real Madrid wana magoli ya kufunga (73) merely sawa na Barcelona (74) wanaoongoza ligi na hii inaonyesha kuwa forward za hizi timu ni kama zimelingana kwa makali, lakini Real Madrid wamecocede magoli 33 sasa na Villarreal na Athletico Bilbao na hii inamaanisha kuwa Real Madrid wana ukuta mbovu kama wa hizo timu ambazo ziko namba 6 na nyingine 13 katika msimamo wa ligi
Yaani huu ukuta ndio utakaotukosesha UCL mwaka huu.
 
Real Madrid wana magoli ya kufunga (73) merely sawa na Barcelona (74) wanaoongoza ligi na hii inaonyesha kuwa forward za hizi timu ni kama zimelingana kwa makali, lakini Real Madrid wamecocede magoli 33 sasa na Villarreal na Athletico Bilbao na hii inamaanisha kuwa Real Madrid wana ukuta mbovu kama wa hizo timu ambazo ziko namba 6 na nyingine 13 katika msimamo wa ligi
Nakubaliana na wewe mkuu.
 
We scored 6 but conceded 3.

Girona’s first season in La liga is one of a dream and they’ll get Europe but we defended set pieces dreadfully.

The one team that doesnt give up attacking and defending even in the 90th minute? Juventus, our next opponents in the UCL.
 
Usiogope man, uliona Paris. Timu nzima ina-defend. Leo Carvajal alikuwa off, na Nacho nae uwaga simuani 100%
Kwenye UCL tunakuwaga na team tofauti kabisa, vijana huwa wanajituma kweli kweli, So hata kwa Juve team itukuwa ya tofauti sana, PSG hawakuamini team mbovu ya Madrid waliyokutana nayo,
 
We scored 6 but conceded 3.

Girona’s first season in La liga is one of a dream and they’ll get Europe but we defended set pieces dreadfully.

The one team that doesnt give up attacking and defending even in the 90th minute? Juventus, our next opponents in the UCL.
Team yetu inafungika, tumemekuwa na ukuta unaopitika kirahisi sana., ila inategemea na aina ya team tunaycheza nayo., Juve watakua wanatushambulia kwa timing, na hapa ndio wakapoumia., wakitaka kutushinda basi watakiwa watushambulie mwanzo mwisho kitu ambacho hawataweza...,
 
Ronaldo anaongoza kufunga useless goals kwenye laliga
Team yake iko nafasi ya tatu ila ana goli 22 (the guy is so selfish)
Hoja kwa hoja -significance ya magoli yake iko wapi?
 
Ronaldo anaongoza kufunga useless goals kwenye laliga
Team yake iko nafasi ya tatu ila ana goli 22 (the guy is so selfish)
Hoja kwa hoja -significance ya magoli yake iko wapi?
Kwani asingekuwa anafunga, Real hata hiyo nafasi ya tatu wangekuwepo? Pia significance yake utaiona kwenye UCL.
 
Back
Top Bottom