Mkui fungua group, hii kitu ni nzuri, niliona Arsenal Fans walienda kufanya Usafi Hospotali ya Temeke kama sikosei, walitoa na misaada ya vitanda vya Wagonjwa, itapendeza sana Club yetu ikiwa na official Platform ya fans wake kwa hapa nchini
Tetesi
Real Madrid inapanga kuwasajili Eden Hazard, 27 na kipa Thibault Courtois, 25, kutoka Chelsea ifikapo mwisho wa msimu. Lakini watasubiri kuona hatma ya Harry Kane wa Tottenham. (Sky Sports)
Real Madrid walikuwa na nia ya kutoa ofa ya pauni milioni 177 kwa Coutinho kabla ya kukubali kujiunga na Barcelona kwa pauni milioni 142. (Mundo Deportivo - in Spanish)