Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

UEFA ipi?? ..huu ni msimu wa njaa kwenu aisee

Cr7 mpira umeanza kwisha. .bale naye hamna kitu kwa sasa ...Messi ana goli zake tatu apo Santiago
Kelele za chura hizi. Mwaka jana mlichongaa mkaishia kunyamazishwa kwa back to back ambayo haitokuja kutokea kwenu daima.
 
Kudadeq kichwa kama katumia mguu....ni goli la uzembe wa beki line zilizokuwepo eneo lile...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…