Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Bado tuna tatizo na hawa vijana wawili, sioni wakibadilka hata kidogo, sielewi ni kwamba wamefika mwisho ama bado wapo pre season? kwenye kiungo tupo vizur sana kwa kweli.
Benzema uvivu na kiburi. Bale kafika mwisho, angeuzwa tu.