Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mkuu tangu umeanza kubashiri game za Real Madrid mpaka leo ungekuwa unaweka hela saa hizi ushakuwa masikini
Ningebeti kubwakubwa kama ya Barca na hii. Mambo ya calculated risk. Hongereni sana kwa kandanda kubwa sana. Magoli ya kufight kama cross ya Modric na ya Marcelo.
 
Pana shabiki mmoja wa juventus baada ya lile goli la tatu akawa kama kaingiwa na ubaridi flan hivi na alikuwa anavuta swaalet sasa kabung 'aa hivi huku ile sigara kaikamata vidoleni ikawa inaendelea kuisha mpaka akatokea shabiki mwenzie nyuma na kumwambia "utaunguzwa na sigara hiyo "ndio akastuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…