Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,706
- 6,373
Bado tupo vizur, haya magoli mawili hayanisumbui kabisa, tunaweza kuwafunga na wao pia
Ni kawaida Mkuu, haswa mnapokuwa mnaongoza, confidence inaongezeka,Mbona kama wanataka waendelee kutufunga zaidi
Mweeer!!!
Hahahaa
Then we've picked a bad day to looseNi kawaida Mkuu, haswa mnapokuwa mnaongoza, confidence inaongezeka,
Hawa jamaa wametuwahi tuuMchaka mchaka wa kipnd cha pili utakuwa wa hatari sana, muhimu tu utulivu mbele ya goli, Hakuna haja ya Sub sasa hiv, team inacheza vizur, na kila mmoja anawatimiza wajibu wake vizur tu!! !VamosReal¡¡