Napoli hana atakalolifanya scnd leg labda tuwe na off-list hii ya majeruhi modric,kroos,Marcelo, ronaldo na bale
I'm sure bale nxt leg is in imagine hiyo list iwe fit ni muendelezo wa dozi tu
They measure themselves up against us for perfection, we measure ourselves up against us for perfection. That's the difference between Real Madrid and the rest.
jana kafunga Insigne tu labda sababu ya ugenini. lakini mertens, Callejon na Hamsik wote hufunga, Napoli ndiyo wanaongoza kwa kufunga goli nyingi kwenye serie A. stadio san paolo moto utawaka.
jana kafunga Insigne tu labda sababu ya ugenini. lakini mertens, Callejon na Hamsik wote hufunga, Napoli ndiyo wanaongoza kwa kufunga goli nyingi kwenye serie A. stadio san paolo moto utawaka.
jana kafunga Insigne tu labda sababu ya ugenini. lakini mertens, Callejon na Hamsik wote hufunga, Napoli ndiyo wanaongoza kwa kufunga goli nyingi kwenye serie A. stadio san paolo moto utawaka.