Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid come out with a statement calling for respect for Cristiano after the Spanish Tax Agency confirmed he's up to date w/ his taxes.

CzB2uuVWQAAoCK5.jpg:large
 
3 players under the scope tonight: Casemiro after a lengthy injury, Benzema after a bad spell and James with his playing minutes. [MARCA]

15284159_1399672096724213_2713576076266007053_n.jpg
 
If Real Madrid finish 2nd in their group then they can face :

Arsenal, Napoli, Monaco, Leicester or Juve.

If finish 1st:

PSG, Benfica, Bayern, Man City, Leverkusen, Porto/København, Juve/Lyon.
Mim ningependa tuongoze kundi, kwasababu tu ya heshima, ila kwenye 16 bora aje yeyote ni poa tu. Ili uwe bingwa ni lazima uzishinde team bora, na uwezo wa kuzishinda tunao.
Vijana wakinisaidia kumpiga BVB nitafarijika sana, hawa watu wamekuwa wakitusumbua sana.
 
Mim ningependa tuongoze kundi, kwasababu tu ya heshima, ila kwenye 16 bora aje yeyote ni poa tu. Ili uwe bingwa ni lazima uzishinde team bora, na uwezo wa kuzishinda tunao.
Vijana wakinisaidia kumpiga BVB nitafarijika sana, hawa watu wamekuwa wakitusumbua sana.
Kuongoza kundi ni bora zaidi, hata hivo now timu ngum zipo kwenye makapu yote
 
Aubameyang ana support ya familia nzima, hata BVB wanamsupport pia atimize ndoto yake ya kuvaa uzi mweupe, ila sidhan kama Real Madrid wanahitaji huduma yake kwasasa, sababu sioni kati ya Benzema ama Morata mmoja wao akiondoka siku za hiv karibuni. Pia ukijumlisha na vijana wanaochipukia kama akina Mariano, Borja na Sergio Diaz. Hao wote wanahitaji nafasi katika safu ya ushambulizi, na Zidane mwenyew haonekani mtu wa kutaka kusajili watu wa nje, sababu anaona kama vijana wa Castilla wanaweza kutumika kama back up.
 
Real Madrid have only failed to score in 1 of their last 42 home UCL matches in the last 7 years.

15380305_1399792213378868_5754166175798431513_n.jpg
 
Since Zidane became manager, Real Madrid have lost just 1 of their 12 matches in the Champions League.
 
Kuongoza kundi ni bora zaidi, hata hivo now timu ngum zipo kwenye makapu yote
Ni kweli Mkuu, safari hii kutakuwa na mtanange mikali sana kwenye 16 bora.
Ancelloti kuanzia pre season anasisitiza kuwa hatopenda akutane na Madrid kwnye mtoano labda fainali.
 
Real Madrid have won EACH of their last 8 home UCL matches [with an aggregate score of 26-2].

15355600_1399717563386333_9068034351604131943_n.jpg
 
Real Madrid starting line-up (4-4-2): Navas; Carvajal, Varane,
Ramos, Marcelo; Lucas Vazquez, Casemiro, Modric, James; Ronaldo,
Benzema.
 
This will be Zidane's 50th match in charge of Real Madrid.
 
Back
Top Bottom