James pia anacheza vizuri lakini mara nyingi anakuwa kama hii game ameikamia aonyeshe matokeo yao anapoteza mipira na Danilo anatakiwa awe makini maana hawa jamaa wameona huku ndio njia.
James pia anacheza vizuri lakini mara nyingi anakuwa kama hii game ameikamia aonyeshe matokeo yao anapoteza mipira na Danilo anatakiwa awe makini maana hawa jamaa wameona huku ndio njia.
Kweli kabisa Mkuu, hilo ndio tatizo la James, Danilo kwa kweli sijui ni nin!! jamaa ni kama homa ya vipindi, kuna mda atafanya vizur, akipewa nafasi nyingine anazingua, yaani ni shida kweli kweli !!