Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kama kawa adui mwombee njaa, mwenyew niilichungulia baada ya kuona Sociedad wanongoza goli moja!! Kama na wanaofuata kesho wakigawana tena point itakuwa jambo jema sana kwetu!!


Mkuu hata Atleti wakati gamel inaanza nilikuwa nawaombea japo suluhu lakini matokeo yamenipa raha zaidi. Wale jamaa kesho kazi wanayo, tena itakuwa baada ya sisi kumpiga mtu mchanamchana. Kesho natabiri clean sheet hapo uwanja wa nyumbani.
 
Marcos Llorente vs Osasuna yesterday (1-0 win)

92 Pass Accuracy.
77 Completed Passes.
2 Dribbles.
7 Ball Recoveries.
5 successful tackles.
2 Interceptions.
5 Clearances.
2 Chances Created.

This guy is just perfect, Can't wait to have him back in the team. One of the best midfielder in the league already.
 
AS | Casemiro removed from Brazil squad as he is injured from 18th September .

 
AS | "Zidane to start Morata over injured Benzema: I don't make the lineup to please any player."

 

Real Madrid's XI: Navas; Carvajal, Varane, Nacho, Marcelo; Kroos, Kovacic, Isco; Bale, Cristiano & Morata.

 
Madrid like these 12:00 kick-offs... have won all 6 [5 at Bernabeu] 29 goals for, 2 against.
 
Real Madrid are the team with the most goals scored in the 1st half in La Liga 2016/17 (15) while Leganés with the fewest (1).
 
Modric getting a run in the second half might finally allow Kroos a rest. Has played all 90 mins of Real's last 10 games.
 
Minutes played by Real Madrid players so far this season:

 
Duu, hiyo ya Benzema na Morata sehemu moja inakuwaje!! au Zizou anafanya majaribio?
Zizou anatumia mbinu zakumbeba benzema zaidi....awape kila mtu kipindi kimoja kimoja takwimu ziongee...kucheza wote kwa pamoja nikujichanganya nakuipa timu mzigo nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…