Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
- Thread starter
- #22,561
Tuna wachezaji wazur sana hasa pale wanapoaminiwa,striking force ya Leo imeonesha nn,BBC wanakikosa kiukweli morata na asensio ni azina kubwa sana pale Madrid,zamu ya zizou kuwaweka benchi hao mapro na kuwapa nafasi hawa vijana,kazi kubwa sana ila Mara nyngne no cleansheet defence bdo ina make mistakes, hope tutaimprove kadri game zinavyoongezeka.
Umemsahau Lucas Vazquez. Yaani kama vipi Zizou ajaribu hii trio hata kwenye la liga. Hawa mabwana wadogo wametulia sana.