Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #21,201
Real Madrid XI vs Sporting CP | Kiko Casilla / Carvajal, Varane, Ramos, Marcelo / Casemiro, Kroos, Modric / Bale, Benzema, Cristiano Ronaldo
Kazi ya Ukocha ni pasua kichwa kweli kweli, mchezaji kutokuwa. kwenye first XI inaweza kuwa sio ishu sana, ila hii ya kutokaa hata benchi ninaona ndio shida zaidi!! Hii kazi inahitaji weledi na busara kubwa sana!! Hope hawa vijana wetu wanaelewa Zizou anachofanya!! ¡HalaMadrid!!
Nisaidie link ya kustream live kwenye laptop mkuu15' Real Madrid 0-0 Sporting CP [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
Hahahhahhahahha...marcelo bhna kwa kuchezea mpira hadi raha
Ni kwel...casmero anapiga kazi sana yakupiga kufuli kati pale ila mipira haifiki kwa wakat mbele....Hakuna link kati ya midfield na hawa BBC to create a chance. We have to create that strong link in order to score. COME ON!!