Duy aisee!!! Muulize Musiba...Hivi uchawi wa kumfanya mtu awe na makalio makubwa matakoni upo?
Wale wajinga nitapambana nao kisela tu.Umejiandaa kupambana na wajinga wa simiyu ?
1. Kujenga ushawishi ndani ya serikali ili maamuzi yabadilishwe.
2. Kujiuzulu ili asiwe sehemu ya maamuzi hayo.
3. Kukubali kubaki serikalini na kuwa sehemu ya maamuzi hayo.
Maamuzi ya ufisadi wowote kwenye serikali ya Kikwete Magufuli hakuchukua option 1 wala 2 hapo juu. Kachukua option 3.
Lakini bado hujajitenganisha na maamuzi.Option 3 inaweza kuwa trick nzuri kuwanasa wanaofanya maamuzi mabovu, ni kama kukimbia na mpira kuelekea golini kwako halafu ukifika eneo fulani unapiga nduki kurudi kwa adui
Mada yote umeanza kuivurugia hapa. Huko ulikoendelea ukawa umetoka kabisa katika lengo lako la mwanzo!Mwisho ni wadokeze tu , JPM still needs JK sana kuliko ,iwe JK mwema au JK mwovu , in any case JK deserves a medal of Honor Kwa service yake Kwa nchi hii.
Nchi hii ukiambiwa uwe Rais Kwa week Moja tu , usipokua sawa kichwan unaweza kuagiza wafe robo ya watu kisa wanakupinga, ts not easy.
Kwa bahati nzuri au mbaya wewe sio Magu. Hujui anayoyajua Magu na wala hujui mikakati inayofanyika misingi yake imesimamia wapi.Kikwete is truly the master. Mimi ningekuwa Magu wala nisingemgusa Kikwete. Kuna mambo huwezi kuyafanya hata kidogo.
Kiswahili bhana ..🤔🤔🤔Hivi uchawi wa kumfanya mtu awe na makalio makubwa matakoni upo?
Poa poa pambana.Wale wajinga nitapambana nao kisela tu.
Nalog off
Ndugu SS, uzuri wa ccm ni kuwa inaleya wazee kwa vijana, kwa hiyo kuna busara na jazba pia.Wacha wavurugane nchi ipone.
pia ana wakristo na waislam wanamuombea sala na duawatakuloga wamemuongezea kiburi,, sasa ana jeshi polis, magereza, mahakama na WALOZI
[emoji23][emoji23][emoji23]Nchi hii ukiambiwa uwe Rais Kwa week Moja tu , usipokua sawa kichwan unaweza kuagiza wafe robo ya watu kisa wanakupinga, ts not easy.
Leo hii akina kinana cjui nape tunawaona wehu sana ts ok.
Kwa bahati nzuri au mbaya wewe sio Magu. Hujui anayoyajua Magu na wala hujui mikakati inayofanyika misingi yake imesimamia wapi.
Hili ndilo tatizo tulilonalo wengi tunaobahatisha tu kuyachambua haya tunayoyaona kwa nadharia au kubahatisha tu.
Angekuwa master asingeimbiwa wimbo wa tunamtaka mamvi kule DodomaKikwete is truly the master. Mimi ningekuwa Magu wala nisingemgusa Kikwete. Kuna mambo huwezi kuyafanya hata kidogo.