Real aviation services and agent

Real aviation services and agent

onyx

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2016
Posts
1,587
Reaction score
1,318
Wakuu heshima zenu.
Karibuni Real Aviation mpate hudama bora za usafiri wa angani kwa bei nafuu kuliko zote Tanzania na duniani kwa ujumla.Tunatoa Huduma za tiketi kwa abiria na mizigo; ndani na nje ya nchi.Kwa msafiri; hatokatwa hela ya Huduma; ni free hapa kwetu.Na ukisafiri na sisi mara tano unapata punguzo la asilimia kumi.Tunapatikana Terminal 1 Julius Nyerere International Airport na typo njiani kufungua ofisi Terminal 2

Karibu usafiri na sisi

Real Aviation Services
 
Wakuu heshima zenu.
Karibuni Real Aviation mpate hudama bora za usafiri wa angani kwa bei nafuu kuliko zote Tanzania na duniani kwa ujumla.Tunatoa Huduma za tiketi kwa abiria na mizigo; ndani na nje ya nchi.Kwa msafiri; hatokatwa hela ya Huduma; ni free hapa kwetu.Na ukisafiri na sisi mara tano unapata punguzo la asilimia kumi.Tunapatikana Terminal 1 Julius Nyerere International Airport na typo njiani kufungua ofisi Terminal 2

Karibu usafiri na sisi

Real Aviation Services
Ninyi ni travelling agent au mnamiliki ndege maana nimeshindwa kuelewa tangazo. Kama hammiliki ndege iweje huduma zenu ziwe rahisi kuliko wengine wote Tanzania na Duniani kwa ujumla kama unavyodai? Dadavua Mkuu kwa faida ya wasomaji
 
Ninyi ni travelling agent au mnamiliki ndege maana nimeshindwa kuelewa tangazo. Kama hammiliki ndege iweje huduma zenu ziwe rahisi kuliko wengine wote Tanzania na Duniani kwa ujumla kama unavyodai? Dadavua Mkuu kwa faida ya wasomaji
Mkuu sisi ni agent wa usafirishaji wa abiria na mizigo; ndani na nje ya nchi.Sisi kwetu mteja ni mfalme.Kumbuka agents nyingi kama si zote zinatoza hela ya Huduma; sisi kwetu halipo.Mengine ni ya kiofisi zaidi kwenye mikataba; siwezi kuweka wazi.Ukitaka Huduma bora; njoo tutakuhudumia; na hutojuta kufanya biashara nasi.
 
Mkuu sisi ni agent wa usafirishaji wa abiria na mizigo; ndani na nje ya nchi.Sisi kwetu mteja ni mfalme.Kumbuka agents nyingi kama si zote zinatoza hela ya Huduma; sisi kwetu halipo.Mengine ni ya kiofisi zaidi kwenye mikataba; siwezi kuweka wazi.Ukitaka Huduma bora; njoo tutakuhudumia; na hutojuta kufanya biashara nasi.
Asante kwa ufafanuzi mzuri mkuu. Tuko pamoja
 
Kwa sasa pia tunahusika na clearing and forwarding ya mizigo,vifurushi pamoja na magari. Huduma zetu ninzuri na nafuu. Mteja kwetu ni mfalme. Karibuni sana kwa huduma bora na kwa haraka zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom