Re:WAPI WANATOA MAFUNZO YA KUOGELEA

Re:WAPI WANATOA MAFUNZO YA KUOGELEA

Governor of Bettors-GB

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
10,847
Reaction score
10,054
Habari wakuu.

Ninaomba kama kuna mtu anafaham sehem ambayo wanatoa mafunzo ya Kuogelea.
Nina watoto aged 6 and 8 yrs na wote hawajui kuogelea kabisaaa.

Niliwahi kwenda Pale kwenye bwawa la chuo kikuu wakasema wao hawafundi watu kuanza kujua kuogelea.

Sasa kama kuna mtu anafaham wapi wanatoa mafunzo kwa watoto anifahamishe plzzz

Stay blessed
 
Kuna Club moja -MARINE TANZANIA SWIMMING CLUB - ambayo ina kids academy na pia wanafundisha na watu wazima. Infact ndo club pekee inayomilikiwa na watanzania 100% pia inafundisha kwa viwango vya kimataifa, ina sifa yakuwa club yenye waongeleaji wa team ya taifa kuanzia umri wa miaka 12- hadi 18 wenye record za Africa mashariki na hata kand ya 3 na 4 ya Africa. Ipo Pale chuo cha mwalimu nyerer Academy Kigamboni na kwa maelezo zaidi fuatilia blog,fb page na fg group zao hapa na contact number.

https://www.facebook.com/groups/kuogelea


https://www.facebook.com/MarineTanzaniaSwimmingClub

MARINE TANZANIA SWIMMING CLUB


Mimi nimejifunza pale na watoto wangu wa 4yr na 7 pia ni member kwenye hiyo club


Marine Tanzania Swimming Club (MTSC)


P.O.BOX 11875
DAR-ES-SALAAM


TEL: +255 714 287 207
+255 762 461 460
+255 766 708 646

+255 655 461 460
+255 782 229 007


EMAIL: marinetzswimmingclub@gmail.com:


Face Book: https://www.facebook.com/MarineTanzaniaSwimmingClub
https://www.facebook.com/groups/kuogelea


Website: MARINE TANZANIA SWIMMING CLUB
 
Zanzibar Spices
Nenda ''Funkys'' ipo masaki.. muulizie kaka mmoja anaitwa Zuberi au hata yoyote utakayekutana nao, watakuelezea gharama za mafunzo na siku gani..
Pia ukaulizie na ''Splash Town'' ipo njia inayoelekea msasani club..ukaulizie hapo kwa information zaidi.

Mimi nilijifunza kuogelea pale chuo kikuu enzi hizo nipo primary, inawezekana wamebadilisha utaratibu siku hizi..!!
 
kaka unaweza kunambia gharama kwa mtu mzima japo ion brief

Mkuu mbona jamaa ameweka namba hapo si upige kuulizia tu wakupe majibu?
Hizo namba nikiziangalia kuna mitandao ya voda, airtel na tigo.
Jaribu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mkuu mbona jamaa ameweka namba hapo si upige kuulizia tu wakupe majibu?
Hizo namba nikiziangalia kuna mitandao ya voda, airtel na tigo.
Jaribu

sent from my blackberry 9300 using jamiiforums

he lacks confidence
 
Nashkuru sana kwa msaada wenu na maelezo yaliyojitosheleza.
Maana uliza usaidwa nimehangaika mwaka mzima natafuta bila mafaniko.
Nitapita sehem zote kuulizia and will keep you informed
Ahsanteni sana na Mungu awe nanyi .
 
Back
Top Bottom