RE: Using your mobile miss call as password (security)


Ok nimekupata mkuu sasa wewe kama mtaaalam mshauri best path. May be mwambie inabidi ainstall ubuntu. Kuhusu port hata kama laptop haina nadhani kuna vifaa atatakiwa kununua (USB to serial convertor) kuwezesha USB port iweze kuungnishwa a kifaaa chenye serial .
 
using a sledge hammer to kill a cockroach
 
Nashukuru kwa kunielewesha. mimi nilikuwa naongelea micro controla. maana najua simu anayo. vilevile hiyo microcontrola inapokea ujumbe wa sms. angalia jinsi xmass lights zinavyofanya kazi. yaan microcontrola inakuwa imekuwa programmed, washa taa hizi halafu hizi na hizi. sasa kama utatumia idea ya kuweka simu badala ya kuiprogram wewe ukaweka sim ukatumia ujumbe wa sms lets say a cheap phone(nk 3310) na hiyo microcontrola ikafuata huo ujumbe.nimeweka picha ya simple microcontrola. hapo imetumia ic Max232 lakini mimi nilipropose ic ya FTDI maana inaspidi kuliko Max232. na hapo kuna hiyo atmega IC. na port mbili yaani moja inachomekwa kwenye simu na nyingine ndio inakwenda kwenye hiyo mitambo yako.halafu chipkizi hakunielewa mimi sikuweka programming language wala sikuongelea mambo yaprogramming language. niliweka commands ambazo imu na hiyo microcontrola itakuwa inabadilishana.
 


mlitumia kifaa aina gani hapo? je ilikuwa inakupa info kwa namna ipi huku ukiwa na simu upande wa kule kwenye Bts umeweka nini hasa ili upate jua kinachijiri hebu nifafanulie nipate idea yako.
 
I second the call that this is an awesome thread, I am keen to learn telecommunications and maybe programming would be interesting to add to it.
For the contributers here, Is it possible to put together an end-to-end tutorial that would explain a solution to a likely requirement and how this is achieved through the programming effort.
 
mlitumia kifaa aina gani hapo? je ilikuwa inakupa info kwa namna ipi huku ukiwa na simu upande wa kule kwenye Bts umeweka nini hasa ili upate jua kinachijiri hebu nifafanulie nipate idea yako.
senkyuuu
Chipukizi mbona umepotea tena? rudi tupeane maujuzi bwana mimi ulivyokuja ilikuwa changamoto kwangu mkuu lets finish tulichokiaza may be I was wrong na ningependa kujifunza kutoka kwako lakini isiwe kwa pm ili membas wengine nao waweze kupata mwamko. mimi nafriri alieuliza swali jibu ni kuwa lazima haya mambo yafanyike kwa njia ya sms na si miss call na nikajaribu kuweka maujuzi yangu so please come with your ujuzi basi? ili tuweze kuulizana mawili matatu mwenye kuniuliza swali kama ni gumu basi atanisaidia kujibu memba mwingine na kama nitaliweza nitalijibu mimi na nikiwa tofauti nitarekebishwa ili nijifunze tusiishie hapa mkuu.
lakini bado nasisitiza hapa zile commands nilizoweka ni kati ya simu (nokia) na pc na si eeprom contest na si programming language programming language unaweza tumia yeyote kuzituma.
 

Wasi wasi wangu kuwa hata chipukizi hana detail nzuri za solution inayotakiwa japo anaelewa. Alivyosema anataka awe pmed na anataka kwanza ajue mleta mada anatumia OS ipi na kama pc yake ina serila port nimeona ana kwepa kwepa. I thought swali la muhimu kabla ya OS au serial port ingekuwa kujua ni language gani jamaa anatumia.

Kwa manufaa ya kuelimika may be na mleta mada atumbie yeye idea aliyokuwa nayoni ipi kwanza . Au na yeye alileta mada kuchemsha baraza tu .wich is not bad.

Mimi nin wazo la ajabu lakini kwa elimu sio mbaya kujifunza. si nia mbaya.

Tutumie google tuone wale wanaotumia simu ku detonate mabomu wanafanyaje ? Through that we can learn something useful ( "Hack to learn and not learn to hack")
 
Mtazamaji umenifanya nionekane kituko hapa maana baada ya kusoma huu ujumbe wako nilishindwa kujizuia kucheka kwa sauti mpaka kila mtu akawa ananiangalia. kwi kwi kwi.......
kwi kwi kwi kwi
 
Mi maamuma kwenye fani hii. Anzeni kunoa bongo muanzishe WEAKLEAK zenu za bongo. mtegeshe madishi mnase kila deal linalofanywa na mafisadi kufilisi nchi. Mkifikia stage hiyo tutajuwa kuwa tua nguli wa kweli kweli kwenye fani-siyo kuendeleza malumbano yasiyo na tija!

Mi najuwa fani hii inakuwa kwa kasi sana kila wakati inatakiwa uwe updated na gadget zinazoingia sokoni, vinginevyo utaanza kumbishia mwenzako kumbe wewe umepitwa na wakati.

Anyway ni SALAMU ZANGU ZA MWAKA MPYA kwenu kwani mnajitahidi sana.
 
Mtazamaji umenifanya nionekane kituko hapa maana baada ya kusoma huu ujumbe wako nilishindwa kujizuia kucheka kwa sauti mpaka kila mtu akawa ananiangalia. kwi kwi kwi.......
kwi kwi kwi kwi

umecheka nini kamanda teh teh

Alfu nipe shule zaidi Mfano tofauti kidogo nahoja ya mleta nataka kuifanya Nokia kutumika ku unlock nakulock gari.. Nahitaji nini na code gani hasa. Maana nimeziona zile code ulizashusha mwanzo lakini nilibaki mweupe. Niko inerested kujua
 
mkuu hapa unahitaji simu ambayo itakuwa connected na microcontroller ambayo ikipokea ujumbe kutoka kwenye simu ina-trigger unachotaka kufanya. na vile vile kama unataka ikuleete majibu kuwa ulichokituma umefanikiwa. sasa hapa kwenye kukurudishia ujumbe ni lazima uweke zile ambazo hazitakula vocha. yaani "please call me" yaani ikikutumia "please call me" maanake gari imesha lock. naomba unipe mda kidogo niifanyie kazi halafu tuje tuijadili kwa pamoja.
kifupi kama ni user mmoja. unatakiwa uwe na simu mbili. moja simu (A) inatuma sms kwenda kwenye simu ya pili (B) hii simu ya pili inakuwa connected na microcontrola kupitia fbus. halafu hapa kwenye microcontrola ndio inafanya kazi ya kutriga na kurudisha ujumbe kwenye simu (B) ambapo wewe utakuwa umeprogram i-dial lets say please call me kwenye simu (A)

nina circuit ambazo hiyo kazi yako itawezekana na zinatumia microcontroller ila zipo kwenye pc yangu ya p3 itanibidi nitoe hard disk halafu niweke kwenye external. kuna a very simple one inakuwa na ON/OFF kwa njia ya sms itakufaa ila sijaijaribu kwenye haya masimu mapya.
(mimi sio mtunzi wa hizo circuit ila nilikutaga kwenye mitandao)
 

sounds interesting ila sijalipata wazo lako vizuri sijui...[please fafanua!halafu nikiangalia suala la kutumia hiyo mobile missed call mbona naona kama itakuwa insecure...kama password ndo inakuwa missed call...what if someone spoofs your number/call...there are so many applications that spoofs numbers/call?ebu lete ufafanuzi kwanza....
 

Sawa Aksante sana kamnda usichoke kwamaswali yangu. baada malezo ngoja nijaribu kusoma soma online kwa kufuata guide na maelekezo uliyotoa .najitahidi kujifunza. hasa hasa hili neno micro controller.

Lakini nina swali tena assume sitaki kutumia frquency na mtandao wa Provider. Nachotaka ni kutumia simu na frequency za blue tooth amabzo ni free kulock au kunlock gari.

Nachojaribu kusema hapa ni kutumia simu kucontrol vitu amabvyo havi kambali sana kama vile remote control ya gari inavyotumika.

Je tunaweza kutengenza model/design ambayo badala ya kuwa na remote control tofauti ya gari tuweke code fulani kwenye simu ambazo key fulani zikibonyezwa zitawasiliana na circuit ya kwenye gari na hiivyokulifunga au lulifungua

I mean kama remote conrol inaweza kuwasha na kuzima TV. Tunahitaji circut gani kwenye gari tutumie simu kuzima na kuwasha na magari. motherboard ya simu si ina microcontroller tayari.???
 
Calvin Power, Steve Dii Chipukizi na wataalamu wengine

nipeni link nzuri za articles, tools na nyenzo za microccontroller kwa beginner. kuweza kuelewa kiundani

Mfano nime google nikaanza kwa article hii.http://www.hobbyprojects.com/pic_tutorials/introduction_to_pic.html

Nimetazama pia mtiriko wa clip tano za youtube one f them ni

Pia nimeona java ina programming solution za mambo ya microcontroller kama J2ME. nadhani Mleta mada akichungulia hapa anaweza kufaidika na idea http://www.roseindia.net/j2me/sound-alert-example.shtml

Je will I be on the right track ????nikikomlia articles hizo. Je Wich is best microtrooler chip used kwa kutumia kujifunza?

any more guide or helpful info is appreciated
 
Last edited by a moderator:
nimekupata mkuu pamoja na kwamba mimi sio mtaalm sana ila nipo kwenye vi-microcontroller vya chini sana maana hizi za juu sina uwezo wa kununua hayo ma jtag programmer. any way unataka kutengeneza xmass tree? au Robot?
 
nimekupata mkuu pamoja na kwamba mimi sio mtaalm sana ila nipo kwenye vi-microcontroller vya chini sana maana hizi za juu sina uwezo wa kununua hayo ma jtag programmer. any way unataka kutengeneza xmass tree? au Robot?

Begginer mzee nataka nijifunze. nasoma soma naona kama naelewa lakini kifika sehemu naona labda nasoma mambo makubwa. Ebu kwa hiyo nipe hata key words za muhimu ambazo nitazitumia kuelewa

Kwa mfano kuna maneno umekuwa ukiyaandika kama FBUS nimeyatumua kuelewa mambo mengi na yamenisaidia kuelewa zaidi .

kwa hiyo wewe nipe shule tu hata ya hivyo vi microcntroller
 
hii shule uliyoweka hapa ni nzuri kuliko hata mimi. nashukuru naona itaniongezea elimu. je wewe ulitaka kutengeneza software itakayoprogram microcontroller au ulikuwa unataka kutengeneza circuit itakayo run na microcontroller, au vyote.mimi nafkiri kama ni software ungeanza na software inayo program eeprom. mmmmm...lakini huku kwenye eeprom ni kama kurudi nyuma sana any way ndo mwanzo huo. na first program itakuwa ni bytes ndogo sana ila itakupa mwanga na utajifunza namna ya kuingia kwenye hayo mamilion ya bytes. kuna mambo mengi ya kujifunza kwenye microcontrollers kama conditional jump/call/branch instrucions, logical instructions (AND/OR/XOR/NOT), comparison instruction na CPU's registers. na kwa bigginer microcontroller za Atmel ndio nzuri kwa kuanzia. unaanza na kuwasha kataa (led) ukifanikiwa unaenda mbele kwa kufanya hiyo taa yako iwe inablinck ukifanikiwa hapa sasa unafanya commands za button ili iwe inawasha na kuzima taa. kazi yote hii mwanzo itakuwa kama inakupotezea mda lakini ndio pa kuanzia. hapa ninao utaalam kidogo lakini hiyo site yako itatusaidia sana tena sana senkyuuuu . vilevile microcontrola nyingi wameshaua/unguza fuse zake hivyo nilishindwa kuzifanyia projects labda kama zitanunuliwa mpya. lakini kwakuwa wewe upo interested na mimi nikama umeninyanyua nitaaza tena na tutakuwa tunaleta report hapa kama kuna atakae kwama tutasaidiana.

hiyo linki yako na hii hapa ni nzuri pia
Gooligum Electronics
 

asante sana kwa maoni mazuri lakini haikuwa muhimu kujisifia mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…