Re: Third born

Bayo

Senior Member
Jul 2, 2009
195
34
eti ukitaka kumuuliza baba yako mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwa kiingereza utamuulizaje??
 
khaaaa ! Kama umechemka usiambiwe kwan ww ndo nani ?
Unajua wewe hutumii akili. Unataka mabishano tu.. Kila mtu humu anahaki yakuuliza anachotaka, Tumeumbwa tupendane na kujali mambo ya wenzetu.. Wote mlyo mpinga mmekosea, na itakuwa upumbafu kama hamta liona hilo.
 
Unajua wewe hutumii akili. Unataka mabishano tu.. Kila mtu humu anahaki yakuuliza anachotaka, Tumeumbwa tupendane na kujali mambko ya wenzetu.. Wote mlyo mpinga mmekosea, na itakuwa upumbafu kama hamta liona hilo.

Halafu nimegundua kuna watu wengine vichwani mwao hawana utashi,yan akili zao hazina muda wa kuwaza waseme nini.
Tuwaombee wapate busara
 
Back
Top Bottom