nzee sana hii humu ndani, sijui umeitafuta ya nini
Mi nlikuwa cjui... watu kila cku wanaajiunga humu. **** nini wewe????
Unajua wewe hutumii akili. Unataka mabishano tu.. Kila mtu humu anahaki yakuuliza anachotaka, Tumeumbwa tupendane na kujali mambo ya wenzetu.. Wote mlyo mpinga mmekosea, na itakuwa upumbafu kama hamta liona hilo.khaaaa ! Kama umechemka usiambiwe kwan ww ndo nani ?
khaaaa ! Kama umechemka usiambiwe kwan ww ndo nani ?
nipita
Unajua wewe hutumii akili. Unataka mabishano tu.. Kila mtu humu anahaki yakuuliza anachotaka, Tumeumbwa tupendane na kujali mambko ya wenzetu.. Wote mlyo mpinga mmekosea, na itakuwa upumbafu kama hamta liona hilo.