The wan
Member
- Jul 4, 2011
- 37
- 2
Je unatafuta "nyumba ya kupanga nzuri na ya kisasa?? Umechoka kuzungushwa na madalali??"
hii ni habari njema kwako…
· nyumba ni mpya, haijawahi kupangishwa
· ina vyumba viwili vya kulala, sebule, kibaraza, jiko na choo cha ndani.
· ina umeme
· kuna karo la maji safi zaidi ya lita 10,000 ambalo hujazwa kwa maji ya mvua na kuna mfumo wa mabomba ndani kwa ajili ya kusambaza
· haiko mbali na barabara· iko ndani ya fensi, na parking ya kutosha. Usalama ni mkubwa
· paa la vigae, madirisha safi ya aluminium, sakafu ya maru maru na ceiling board ya gypsum
· nyumba ipo mbezi makabe kwa mzungu, ukishuka mbezi mwisho ukiulizia utaelekezwa
bei ni Ths laki mbili tu kwa mwezi kwa mkupuo wa miezi sita.
.
wahi sasa, kabla hujapoteza nafasi hii…..
Wasiliana na peter kwa namba +255 653 777 655 / +255 762 986 611au felician +255 784 902 397
hii ni habari njema kwako…
· nyumba ni mpya, haijawahi kupangishwa
· ina vyumba viwili vya kulala, sebule, kibaraza, jiko na choo cha ndani.
· ina umeme
· kuna karo la maji safi zaidi ya lita 10,000 ambalo hujazwa kwa maji ya mvua na kuna mfumo wa mabomba ndani kwa ajili ya kusambaza
· haiko mbali na barabara· iko ndani ya fensi, na parking ya kutosha. Usalama ni mkubwa
· paa la vigae, madirisha safi ya aluminium, sakafu ya maru maru na ceiling board ya gypsum
· nyumba ipo mbezi makabe kwa mzungu, ukishuka mbezi mwisho ukiulizia utaelekezwa
bei ni Ths laki mbili tu kwa mwezi kwa mkupuo wa miezi sita.
.
wahi sasa, kabla hujapoteza nafasi hii…..
Wasiliana na peter kwa namba +255 653 777 655 / +255 762 986 611au felician +255 784 902 397