Re: Nahitaji mayai kwa ajili ya kutotolesha

Re: Nahitaji mayai kwa ajili ya kutotolesha

Joined
Dec 8, 2012
Posts
31
Reaction score
8
Wadau wa JF, mimi nina mashine ya kutotolesha vifaranga. Tatizo ni jinsi ya kupata mayai. Naomba mnisaidie wapi nipate mayai yaliyolelewa kwa ajili ya kutotoleshwa. Niko Mbeya , ILEJE.
 
Wadau wa JF, mimi nina mashine ya kutotolesha vifaranga. Tatizo ni jinsi ya kupata mayai. Naomba mnisaidie wapi nipate mayai yaliyolelewa kwa ajili ya kutotoleshwa. Niko Mbeya , ILEJE.


Kama unahitaji kutotoa kuku wa kisasa ie:broilers,layers na cocks jaribu kutafuta mawasiliano na poutry farms kama mkuza,amadori,dar chicks,interchicks nk...
 
Upo Mbali sana ungekuwa Morogoro ningekusaidia maana nayo mayai yakitikiswa sana ni hatari yanaweza kutototoreshwa
 
Upo Mbali sana ungekuwa Morogoro ningekusaidia maana nayo mayai yakitikiswa sana ni hatari yanaweza kutototoreshwa

Mkuu .... hayo mayai ni ya kuku aina gani? naupatikanaji wake ni kiasi gani?, bei?

shukurani
 
wadau wa jf, mimi nina mashine ya kutotolesha vifaranga. Tatizo ni jinsi ya kupata mayai. Naomba mnisaidie wapi nipate mayai yaliyolelewa kwa ajili ya kutotoleshwa. Niko mbeya , ileje.
kama ni kuku weusi wa malawi tuwasiliane kwa 0754476976 mayai yapo ya kutosha,
 
Kama unahitaji kutotoa kuku wa kisasa ie:broilers,layers na cocks jaribu kutafuta mawasiliano na poutry farms kama mkuza,amadori,dar chicks,interchicks nk...
Mkuu hizi kampubi haziuzi mayai kamwe, na kampuni kalibia zote huwa hawataki kuuza mayai bali vifaranga.
 
Mkuu hizi kampubi haziuzi mayai kamwe, na kampuni kalibia zote huwa hawataki kuuza mayai bali vifaranga.

Kweli kabisa, nimejaribu kuwasiliana na makampuni kadhaa wamegoma, nimeishia kutotolesha ya Malawi na kienyeji
 
Back
Top Bottom