mmmmmmmmh!...nimemsevu _igwe's girl friend....hapo je!kwani ww umem-save aje? ungemuachia simu na ww aone ulivyom-save 'kimeo'.
wakati mwingine tunalaumu wanaume kwa kuwaonea! hicho kimeo kimeshaambiwa kuna mpnz anaependwa kwa dhati, sasa yeye amebakia kujiita wife! maigizo@itv.com!
<br />Hahahahahah.....you made my day...lol..<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />
Salaam!..
Nilicheat na mdada mzuri na mwenye uelewa kwa vigezo vyangu anyway_na hii ilikua wiki iliyopita,...sasa juzi kanipigia cm nimpitie ofisini kwake(ana duka la vipodozi).tukaenda sehemu kupata 1 moto 1 baridi ingawa yeye hatumii kileo,..akanipa simu yake eti nimshikie mpaka tutakapoagana.
Sasa ndipo nikaanza kuipekechua kuangalia kilichomo ingawa kwa uangalifu mkubwa asije akajua nafanya nini?...haa!..nikajagundua amenisevu eti "my husband",.....mmmmh!..sijamuuliza ingawa nimeshangaa kidogo kwani,anajua fika nina mpnz wangu ninayempenda ingawa nimemcheat.
My take:Je_hii ndio stail mpya badala ya ile ya baby,sweet,honey etc......au kuna maana ingine nyuma ya pazia?
Nb:msiniulize kwanini sijamuuliza
NB: USITUULIZE KUNA NINI NYUMA YA PAZIA lol!!!!!Salaam!..
Nilicheat na mdada mzuri na mwenye uelewa kwa vigezo vyangu anyway_na hii ilikua wiki iliyopita,...sasa juzi kanipigia cm nimpitie ofisini kwake(ana duka la vipodozi).tukaenda sehemu kupata 1 moto 1 baridi ingawa yeye hatumii kileo,..akanipa simu yake eti nimshikie mpaka tutakapoagana.
Sasa ndipo nikaanza kuipekechua kuangalia kilichomo ingawa kwa uangalifu mkubwa asije akajua nafanya nini?...haa!..nikajagundua amenisevu eti "my husband",.....mmmmh!..sijamuuliza ingawa nimeshangaa kidogo kwani,anajua fika nina mpnz wangu ninayempenda ingawa nimemcheat.
My take:Je_hii ndio stail mpya badala ya ile ya baby,sweet,honey etc......au kuna maana ingine nyuma ya pazia?
Nb:msiniulize kwanini sijamuuliza
sema mkuu,...unafanya nini hapo ukutani?
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Keren yaani saa nyingine watu tunakuwa kama vile akili tumeshikiwa na mtu. Sasa kweli hapo kilichomfanya asevu hilo jina hivo ni nini huku kaambiwa wazi? Si upoyoyo huo?
Kwanza hiyo tu kukaa nayo kichwani mpaka leo kuja kuanzisha thread tayari msichana ni winnerhehehe,bht huwajui majambazi wastaarabu eeh? hapo anamuibia tu ili amuone wa maana na anampenda kuliko mpenziwe ambaye keshamchosha i ajabu namba kaisave bila hata jina! na ndo maana kamuachia simu aone. nextime ataandika 'my king'. anakula na kipofu huyo,lol! (ndo maana nakuambia kila siku kamata manati uanze kumuwinda huyo mkaka wako,weeh unajidai mchaga! shauri yako)
<br />
<br />
Naona alitaka amsave "ATM" ndiyo angefurahi.IGWE ulitaka akusave "Vocha Dar"