Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Mwenzio ndo kashapa husband hivyo......na ndo maana alikupa simu uone! Hongera kwa kuoa IGWE..
We acha tu mkuu! kuna majina wanasave hata huwezi amini!hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!... mkuu...you made ma day
hahaha kupenda raha Nyamayaowatu wana upec eehh...hamna week kwenye relation tayari mnabatizana majina...kazi ipo.
<br />
<br />
Mae kwani wewe umeelewa ni mahusiano gani? Si kajisemea mwenyewe ni ya kuchiti na aliyechiti naye anajua jamaa bado ana mtu wake ....
Hahaaaaaaaa Preta bana angalia usimtishe mwenzio.................!
unamaana kwamba kanipata na kua husband wake!....heeee!.......
Kitambo...ngoja aje atibue ndoa yako ndio utaamka.
hahaha kupenda raha Nyamayao
Tayari ameshakamatika!!limbwata huanzwa kulishwa kwa namna hii......
Mshiki hebu toa maelezo kidogo nini sifa ya bumunda?Nyamayao my dearest of the dearest....nilikumiso pia ila nikasema ngoja nikuache uzisake kwanza maana ndo muda. Niliamini u hai bana.
Yaani haya mapenzi ya dhati naona yana definition mpya. Na huyo dada naye bumunda tu
huku ni kutamaniana tu hakuna lolote, umeona igwe anasema ana wake anapenda kwa "dhati"...mapendo ya kileo haya yana mambo,udhati upo wapi hapo?
Hiyo maneno ilikuwa kwaajili ya dating na wewe tu!
Alijiandaa toka asubuhi kuwa anaenda kuwa cheated, hivyo alijiweka sawa kila idara, mojawapo ikiwa ni ku'edit jina alilokusave nalo.
Siku Mtokee ghafla ofisini kwake kama utathubutu kupewa uguse hiyo simu!..La utaona ataaga anaenda toilet, then anaedit fasta!
Achana na hawa watu bana!
We huwa huoni tukikaa kwenye yale mavikao yetu ya "mbesii", simu zinawekwa silence, halafu mtu anawasiliana na mjamaa kwa msg tu, tena anaandika ujumbe simu ikiwa uvunguni mwa meza au kwenye pochi!!....wanawake wamesomea hayo maneno bana!
Kwa mtizamo wangu, huyo 'ndito' alikuzidi maujanja mbaya kabisa chalii yangu!
Mshiki hebu toa maelezo kidogo nini sifa ya bumunda?
Kwamba battery yangu haichaji au?...weee.....ha ha....
kwanzia leo nakusave.....Low Battery....
hahaha bora ujue mamito siku ukikuta "umesaviwa" bumunda ujue maana kabisaaha ha.....bumunda....
wakwetu hebu toa nasaha zako......
Nyamayao my dearest of the dearest....nilikumiso pia ila nikasema ngoja nikuache uzisake kwanza maana ndo muda. Niliamini u hai bana.
Yaani haya mapenzi ya dhati naona yana definition mpya. Na huyo dada naye bumunda tu
Kwamba battery yangu haichaji au?...
Aisee...unajua nitakuripoti kwa "abuse"!
Yatakayofuata unayajua!