Jaman mh. Mnyika ametaka leo walimu waliogoma wachukuliwe hatua. Ametamka mjengoni alipokua anachangia bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi.Hivi kweli ana akili za kutosha?
My take:
naona hana huruma na walimu waliojaa matatizo lukuki.
Naomba awaombe radhi walimu la cvyo wale wasomi wa mlimani jimboni kwake wampige chini. Kwani wapo wanaosomea ualimu.