OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 827
Sasa hivi watumishi wa umma wazembe matumbo moto due to EL.
Sijamuona cheer leader wenu
Yupo wapi leo
OTIS
Sasa hivi watumishi wa umma wazembe matumbo moto due to EL.
Cant you see?
OTIS
Cant you see?
OTIS
habari wana wa JF.. Huyu bwana tajwa kwenye title hapo amepania sana urais aisee,, anataka amshike kila MTZ.. Ameniadd kwenye facebook bwana.. Hivi atafanikisha kweli??
Tumegundua wewe umetumwa, na hapo unapima upepo, wewe mnajuana, mie niko huko facebook mbona hajaniadd(kwanza ningekataa) mpaka akuone wewe tu.
Mwambie yafuatayo:
1. Yeye na wewe ni mafisadi ( coz ndege wa sifa zinazofanana huruka pamoja mpaka ameku-add facebook).
2.ameliingizia taifa hili hasara ya mitambo mibovu na ukurasa wa matatizo ya mgawo mpaka leo( bei zinazidi kupanda).
3. Hajawahi kufanya kazi sehemu bila kufisadisha -tunajua taarifa zake tangu akiwa middle school-tutazimwaga hapa siku si nyingi.
4. ni mroho wa madaraka, japo watanzania na vijana hatumtaki ametuganda kama kupe.
5. amefanya tambiko la kipagani kanisani huko kigoma juzi akiwa na wachawi maarufu(wazee maarufu) wa mkoa wa kigoma bila soni.
SASA BASI: asijaribu kugusa hata fomu kwenye kura za maoni atakiona cha moto, tutamwaga mpaka utumbo.
Hakuna mtu anemhitaji coz wenye sifa ya kuongoza nchi hii wako wengi ndani ya CCM ,Chadema na vyama vingine.
Mwambie huyo anaekutumia amelamba galasa, zama zake zimepita,
Massage sent nasubilia delivery.
Tumegundua wewe umetumwa, na hapo unapima upepo, wewe mnajuana, mie niko huko facebook mbona hajaniadd(kwanza ningekataa) mpaka akuone wewe tu.
Mwambie yafuatayo:
1. Yeye na wewe ni mafisadi ( coz ndege wa sifa zinazofanana huruka pamoja mpaka ameku-add facebook).
2.ameliingizia taifa hili hasara ya mitambo mibovu na ukurasa wa matatizo ya mgawo mpaka leo( bei zinazidi kupanda).
3. Hajawahi kufanya kazi sehemu bila kufisadisha -tunajua taarifa zake tangu akiwa middle school-tutazimwaga hapa siku si nyingi.
4. ni mroho wa madaraka, japo watanzania na vijana hatumtaki ametuganda kama kupe.
5. amefanya tambiko la kipagani kanisani huko kigoma juzi akiwa na wachawi maarufu(wazee maarufu) wa mkoa wa kigoma bila soni.
SASA BASI: asijaribu kugusa hata fomu kwenye kura za maoni atakiona cha moto, tutamwaga mpaka utumbo.
Hakuna mtu anemhitaji coz wenye sifa ya kuongoza nchi hii wako wengi ndani ya CCM ,Chadema na vyama vingine.
Mwambie huyo anaekutumia amelamba galasa, zama zake zimepita,
Massage sent nasubilia delivery.
Cant you see?
OTIS
Ni Lowasa 2 jembe la ukweli hataki longo longo kautema uwaziri mkuu huyu ndio shujaa we2 siasa uchwara hajazoea anatakiwa awe top aweze kufanya full maamuzi
wewe ni mshamba sana,kama umemuomba wewe,akaku add sasa unakuja kututangazia njaa zako apa ili iweje?ndo nyie ukitong...o.z.w.a unaenda kutangaza.tumechoka hili,give us a break tafazali
Naunga mkono hoja.Hakuna kama yeye 2015.El for 2015Ni lowasa tu ndio chaguo letu 2015.mwenye wivu nae basi akapige mbizi baharini.