Teh teh teh, hizi habari badala kunipa uchungu saa nyingine huwa zinanichekesha kwa kweli. Sasa hao wafanyakazi 200 wanafanya nini?? Hii nchi kwa komedi tu si mchezoNi kweli ATC ilikuwa na ndege 11 na wafanyakazi 200!
Ndege zote zimekufa imebaki moja ipo south africa inatengenezwa, lakini cha kushangaza ATC bado ina wafanyakazi 200