Sasa wewe unataka kula chakula kilichoungwa vizuri wakati hujanunua viungo?Nimpe Bwana sifa na utukufu kwa kunipatia huyu mchumba, ananipenda na mimi nampenda panapo majaaliwa mwishoni mwa mwaka huu tutafunga ndoa. Tatizo ni kwa x-girl friend wangu alikuwa na chachandu ya gold kiunoni. huyu hana. nilipomwomba atafute chachandu kanipa jibu linalonikosesha raha kabisa eti kwanini nisimletee na kwa nini namwambia ajinunulie. kosa langu nini hapa? mbona mwenzie alikuwa nayo?
Mwache akutane na Wapemba wamnunulie halafu nisikie unalalamika.Nimpe Bwana sifa na utukufu kwa kunipatia huyu mchumba, ananipenda na mimi nampenda panapo majaaliwa mwishoni mwa mwaka huu tutafunga ndoa. Tatizo ni kwa x-girl friend wangu alikuwa na chachandu ya gold kiunoni. huyu hana. nilipomwomba atafute chachandu kanipa jibu linalonikosesha raha kabisa eti kwanini nisimletee na kwa nini namwambia ajinunulie. kosa langu nini hapa? mbona mwenzie alikuwa nayo?
c umnununlie mwenzio na wewe?
hivi ni chachandu ya gold au cheni??
Yaani umekosea sana kumwambia atafute. Wewe ndio mwenye shida na chachandu. Mpe hela akanunue au muende wote dukani.
Bwahahaaaaa!.. Wajinga ndo waliwao!.
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
ndoa nyingi zinavunjika kwa nonsense kama hizi...
chachandu? WTF!!!
sio muhim sana ila,mmh,hata mim sjawai pata dem kavaa hyo kitu,ila nahis itakua inatusisimua sana wanaume,kama bikin tuu nkiona napiz,je hyo gold?
Nimpe Bwana sifa na utukufu kwa kunipatia huyu mchumba, ananipenda na mimi nampenda panapo majaaliwa mwishoni mwa mwaka huu tutafunga ndoa. Tatizo ni kwa x-girl friend wangu alikuwa na chachandu ya gold kiunoni. huyu hana. nilipomwomba atafute chachandu kanipa jibu linalonikosesha raha kabisa eti kwanini nisimletee na kwa nini namwambia ajinunulie. kosa langu nini hapa? mbona mwenzie alikuwa nayo?
Noma ya chachandu ikikatika zile shanga zinamwagika vibaya... chain ya gold wengine tunapenda looks sexy depending na shepu ya mwanamke na wengine wapenda hina huwa wanachora hina maeneo fulani... kwa wanaopenda hii mambo wakiona hivi hubakia kulalalamika "weka mbali na watoto!"sio muhim sana ila,mmh,hata mim sjawai pata dem kavaa hyo kitu,ila nahis itakua inatusisimua sana wanaume,kama bikin tuu nkiona napiz,je hyo gold?
Ndio maana Chujio nakupenda!Ila wewe....umeniudhi! Huoni kosa lako kijana?!Kubeba makunyanzi ya mahusiano yaliyopita na kuyaleta kwenye uhusiano wako mpya unaodai 'unampenda' huku ukimfananisha na ex wako ni tabia chafu, tena mbaya sana!
Nimpe Bwana sifa na utukufu kwa kunipatia huyu mchumba, ananipenda na mimi nampenda panapo majaaliwa mwishoni mwa mwaka huu tutafunga ndoa. Tatizo ni kwa x-girl friend wangu alikuwa na chachandu ya gold kiunoni. huyu hana. nilipomwomba atafute chachandu kanipa jibu linalonikosesha raha kabisa eti kwanini nisimletee na kwa nini namwambia ajinunulie. kosa langu nini hapa? mbona mwenzie alikuwa nayo?
ndoa nyingi zinavunjika kwa nonsense kama hizi...
chachandu? WTF!!!
Kwa mujibu wa maelezo yake, ipo siku lazima akumbuke chachandu ya X wake, na hapo tuna sema nyoka wa kufugwa lazima akumbuke msitu.