Re-branding ya maji ya Uhai

Re-branding ya maji ya Uhai

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
974
Wanabodi,
Hii re branding waliofanya kampuni ya maji ya kunywa ya chupa ya UHAI nimeikubali, kuanzia packaging design hadi labbelling, kwa sasa angalau hii brand inaweza kuvuka mipaka.
 
Wanabodi,
Hii re branding waliofanya kampuni ya maji ya kunywa ya chupa ya UHAI nimeikubali, kuanzia packaging design hadi labbelling, kwa sasa angalau hii brand inaweza kuvuka mipaka.

Maji hayo yalishavuka mipaka kabla ya re-branding.
 
Wanabodi,
Hii re branding waliofanya kampuni ya maji ya kunywa ya chupa ya UHAI nimeikubali, kuanzia packaging design hadi labbelling, kwa sasa angalau hii brand inaweza kuvuka mipaka.
Khaa!! maji ya hovyo sana hayo, hayafai hata kuoga kwa chumvi iliyomo. Katika maji ya chupa ndogo ya tz bora uongelee dasani, ndanda, africa na cool blue.
 
Wewe lazima utakua unakunywa viroba kama mbadala ya maji!;

Uhai ni maji bora kabisa hapa Tanganyika.

maji bora p.h 7.9 ...?

wengi tunatumia bidhaa bila kufuatilia vitu vya mmsingi, bora ninywe yale ya zamani ila sihaya mnayosema mapya,

maji ni more alkaline hayakati kiu, utakunywa na kunywa bila kukata kiu,
 
Deo carleone si lazima yafike Namtumbo, kwenye marketing strategies si lazima uhudumie the whole population, kuna vitu kama market segmentation, niche marketing ni bora ukahudumia pale unapofanya vizuri, mfano maji ya kilimanjaro pamoja na ubora wake wote lakini mikoa ya kusini ni aghalabu kuyakuta
 
Last edited by a moderator:
Deo carleone si lazima yafike Namtumbo, kwenye marketing strategies si lazima uhudumie the whole population, kuna vitu kama market segmentation, niche marketing ni bora ukahudumia pale unapofanya vizuri, mfano maji ya kilimanjaro pamoja na ubora wake wote lakini mikoa ya kusini ni aghalabu kuyakuta

Dah umenirudisha class kabisa hapo kwenye marketing!!

Hivi kwa hapa Tanganyika ,nani ni leader,kwenye water products zilizopo?
 
Last edited by a moderator:
maji bora p.h 7.9 ...?

wengi tunatumia bidhaa bila kufuatilia vitu vya mmsingi, bora ninywe yale ya zamani ila sihaya mnayosema mapya,

maji ni more alkaline hayakati kiu, utakunywa na kunywa bila kukata kiu,

Mbona mimi nikinywa kiu inakata!!?
Kuna maji yapo mwanza kule yanaitwa Aqua !!

Hayo ndo maji hovyo kabisa kusini mwa jangwa la sahara
 
Hayo maji yapo sana sumbawanga na katavi!!

Hivi yanasambaa sana?

Sijayaona huku Namtumbo

Mbeya,Iringa, Tabora yamejaa pia...naona wanataka wakamate soko la kati na nyanda za juu... siku hizi kila mtu anataka auze maji
 
Hayo maji yana p.h kubwa kma mdau alivosema hapo juu..
 
Deo carleone kuhusu market leader wa product yeyote kuna vigezo vinatumik kumpata, kama vile sales volume, profit margin, number of customers, usability n.k, kwa upande wa maji ya kunywa tz sana sana tutaangalia sales volume annually, na pia profit margin yao ikoje, kwa mtazamo wangu maji ya KILIMANJARO is still market leader in Tz
 
Last edited by a moderator:
Yapo Mengne Mbeya Spring na rungwe water nadhan soko lao kubwa mkoa wa mbeya na wilaya zake
 
Back
Top Bottom